- Thread starter
- #41
Nasubiri tu mshahara wa OctobaMuwe na subira kidogo tu, mambo yatakuwa sawa.. I can feel ur frustrations
Nasubiri tu mshahara wa OctobaMuwe na subira kidogo tu, mambo yatakuwa sawa.. I can feel ur frustrations
Hata tarehe 15 bado unazungumzia mshahara,ndio maana tija hakuna serikalini,nakushauri acha kazi mkuu ya nini kulalalmika?Hivyo mimi na watumishi wenzangu wenye nasaba kama zangu tnasubiri Oktoba hii.
Nasubiri mshahara wa OctobaHata tarehe 15 bado unazungumzia mshahara,ndio maana tija hakuna serikalini,nakushauri acha kazi mkuu ya nini kulalalmika?
Unatishia kujamba wakati unaharisha?Unataka mshahara kwa lipi hasa unalofanya,ikiletwa utaratibu wa KPI serikali mtaondoka wengi sana,acheni kufanya kazi kwa mazoea.
Pinda mgongo toka saa moja na nusu hadi tisa unusu ndio ulalamike
Kuonesha kabisa wewe hustahili hata huo mshahara wa October,saa hizi upo JF badala ya kuchapa kaziNasubiri mshahara wa Octoba
Mh Jana nimenunua cement mfuko mmoja elfu 17000 tembo na Nyati 18000..bei imepanda sana huku kusiniKuongeza mshahara so hoja,hats ukibakia ulivyo saw a,hoja ni kupunguza mfumuko was bei ,ili hata hiyo iliyopo iongeze uwezo wa kununua 'cash purchasing power vs inflation!!! Kwa saruji angalau ila sukari no!
I miss JK
Huyo alikuwa anatupeleka chaka, aliishi kwa kujihami..I miss JK
Jamaa huyu alifanya mambo kwa style tofaut kidogo hapo mwishomwisho.I miss JK
Hata kama kwa sasa nina laki mbili mfukoni lakini nasubiri haki itendeke Oktoba hiiHata Mimi nausubili maana hapa Nina elfu 40 tuu na siku zimebaki 10
Kuna watu na viatu ujueHata tarehe 15 bado unazungumzia mshahara,ndio maana tija hakuna serikalini,nakushauri acha kazi mkuu ya nini kulalalmika?
Unatishia kujamba wakati unaharisha?Unataka mshahara kwa lipi hasa unalofanya,ikiletwa utaratibu wa KPI serikali mtaondoka wengi sana,acheni kufanya kazi kwa mazoea.
Pinda mgongo toka saa moja na nusu hadi tisa unusu ndio ulalamike
Huyu ni hata si kiatu ... ni kubaziKuna watu na viatu ujue
my nikuambie kitu.Hata Mimi nausubili maana hapa Nina elfu 40 tuu na siku zimebaki 10
Nitajie namba PM nitume fasta tugawane umaskini tuu baby![]()
![]()
![]()
my nikuambie kitu.
Naomba unitumie elfu kumi tu.
Ulizibaje hlo pengo MadamJapo ni haki watu kuongezwa ila tangu mwaka jana nlishajua hamna kitu nikaendelea kujiongeza na kuimarisha namna ya kuziba hilo pengo sasa mambo yanaenda.