Justine_Dannie
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 1,963
- 1,616
Hili andiko sijui kwanini linaniudhi.!?
Unaona vifaa ni muhimu kuliko maisha ya watu? PatheticZitto Kabwe ni nani mpaka aseme kwamba ana uhakika kuwa Jeshi la Wanachi la Tanzania ( JWTZ ) lina Vifaa ' Maalum ' vya Kijeshi vya Uokoaji ila anashangaa kuona halijahusishwa kikamilifu katika kuvitumia ili kuweza Kuokoa maisha ya Watanzania wenzetu katika Ajali ya MV Nyerere.
Ninavyojua ni kwamba Kutaja hovyo tena hadharani Vifaa vya Kijeshi ni sawa sawa na Kuuza Siri kwa Maadui wa Tanzania na kibaya zaidi Zitto Kabwe mwenyewe katika ' Twiti ' yake amekiri kabisa kwamba anajua na ana uhakika kuwa JWTZ wana hivyo vifaa katika Kambi yao tena ' Nyeti ' kabisa ya Ngerengere Mkoani Morogoro.
Sasa kama Zitto Kabwe anadhani kuwa JWTZ ni sawa sawa na Cyprian Musiba Kazi anayo na kama vile nawaona sasa JWTZ jinsi wanavyojipanga ili kuweza Kumfundisha adabu kwa kuwa na ' Kiherehere ' cha hadi kutaja Vifaa vyao Kinyume kabisa na Maadili na Utaratibu wao.
Kazi ipo hakyanani!
Nawasilisha.
Una umri gani?Zitto Kabwe ni nani mpaka aseme kwamba ana uhakika kuwa Jeshi la Wanachi la Tanzania ( JWTZ ) lina Vifaa ' Maalum ' vya Kijeshi vya Uokoaji ila anashangaa kuona halijahusishwa kikamilifu katika kuvitumia ili kuweza Kuokoa maisha ya Watanzania wenzetu katika Ajali ya MV Nyerere.
Ninavyojua ni kwamba Kutaja hovyo tena hadharani Vifaa vya Kijeshi ni sawa sawa na Kuuza Siri kwa Maadui wa Tanzania na kibaya zaidi Zitto Kabwe mwenyewe katika ' Twiti ' yake amekiri kabisa kwamba anajua na ana uhakika kuwa JWTZ wana hivyo vifaa katika Kambi yao tena ' Nyeti ' kabisa ya Ngerengere Mkoani Morogoro.
Sasa kama Zitto Kabwe anadhani kuwa JWTZ ni sawa sawa na Cyprian Musiba Kazi anayo na kama vile nawaona sasa JWTZ jinsi wanavyojipanga ili kuweza Kumfundisha adabu kwa kuwa na ' Kiherehere ' cha hadi kutaja Vifaa vyao Kinyume kabisa na Maadili na Utaratibu wao.
Kazi ipo hakyanani!
Nawasilisha.
Yaani umeandika mambo ya utoto kabisa.Vifaa vya uokoaji kuwepo ndani ya vikosi vya Jeshi si jambo la siri maana hata wao wenyewe huonesha tu wakiwaaminisha wananchi kuwa wako imara kwa lolote.Yapo mambo yanayojulikana kuwa ni siri lakini hilo sio.Siku moja utapata maelekezo ya kutosha hapa jamvini kuhusu nini kinaitwa siri na aina zake.Zitto Kabwe ni nani mpaka aseme kwamba ana uhakika kuwa Jeshi la Wanachi la Tanzania ( JWTZ ) lina Vifaa ' Maalum ' vya Kijeshi vya Uokoaji ila anashangaa kuona halijahusishwa kikamilifu katika kuvitumia ili kuweza Kuokoa maisha ya Watanzania wenzetu katika Ajali ya MV Nyerere.
Ninavyojua ni kwamba Kutaja hovyo tena hadharani Vifaa vya Kijeshi ni sawa sawa na Kuuza Siri kwa Maadui wa Tanzania na kibaya zaidi Zitto Kabwe mwenyewe katika ' Twiti ' yake amekiri kabisa kwamba anajua na ana uhakika kuwa JWTZ wana hivyo vifaa katika Kambi yao tena ' Nyeti ' kabisa ya Ngerengere Mkoani Morogoro.
Sasa kama Zitto Kabwe anadhani kuwa JWTZ ni sawa sawa na Cyprian Musiba Kazi anayo na kama vile nawaona sasa JWTZ jinsi wanavyojipanga ili kuweza Kumfundisha adabu kwa kuwa na ' Kiherehere ' cha hadi kutaja Vifaa vyao Kinyume kabisa na Maadili na Utaratibu wao.
Kazi ipo hakyanani!
Nawasilisha.
Atasubiri sana labda yesu akirudiUnatafuta cheo
Mleta uzi nahusi ana akili nyingi na watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri wana mshambulia.Binafsi nacheka tu moyoni kweli jamaa ana akili.
Acha uchonganishi ww.Zitto Kabwe ni nani mpaka aseme kwamba ana uhakika kuwa Jeshi la Wanachi la Tanzania ( JWTZ ) lina Vifaa ' Maalum ' vya Kijeshi vya Uokoaji ila anashangaa kuona halijahusishwa kikamilifu katika kuvitumia ili kuweza Kuokoa maisha ya Watanzania wenzetu katika Ajali ya MV Nyerere.
Ninavyojua ni kwamba Kutaja hovyo tena hadharani Vifaa vya Kijeshi ni sawa sawa na Kuuza Siri kwa Maadui wa Tanzania na kibaya zaidi Zitto Kabwe mwenyewe katika ' Twiti ' yake amekiri kabisa kwamba anajua na ana uhakika kuwa JWTZ wana hivyo vifaa katika Kambi yao tena ' Nyeti ' kabisa ya Ngerengere Mkoani Morogoro.
Sasa kama Zitto Kabwe anadhani kuwa JWTZ ni sawa sawa na Cyprian Musiba Kazi anayo na kama vile nawaona sasa JWTZ jinsi wanavyojipanga ili kuweza Kumfundisha adabu kwa kuwa na ' Kiherehere ' cha hadi kutaja Vifaa vyao Kinyume kabisa na Maadili na Utaratibu wao.
Kazi ipo hakyanani!
Nawasilisha.
Zitto Kabwe ni nani mpaka aseme kwamba ana uhakika kuwa Jeshi la Wanachi la Tanzania ( JWTZ ) lina Vifaa ' Maalum ' vya Kijeshi vya Uokoaji ila anashangaa kuona halijahusishwa kikamilifu katika kuvitumia ili kuweza Kuokoa maisha ya Watanzania wenzetu katika Ajali ya MV Nyerere.
Ninavyojua ni kwamba Kutaja hovyo tena hadharani Vifaa vya Kijeshi ni sawa sawa na Kuuza Siri kwa Maadui wa Tanzania na kibaya zaidi Zitto Kabwe mwenyewe katika ' Twiti ' yake amekiri kabisa kwamba anajua na ana uhakika kuwa JWTZ wana hivyo vifaa katika Kambi yao tena ' Nyeti ' kabisa ya Ngerengere Mkoani Morogoro.
Sasa kama Zitto Kabwe anadhani kuwa JWTZ ni sawa sawa na Cyprian Musiba Kazi anayo na kama vile nawaona sasa JWTZ jinsi wanavyojipanga ili kuweza Kumfundisha adabu kwa kuwa na ' Kiherehere ' cha hadi kutaja Vifaa vyao Kinyume kabisa na Maadili na Utaratibu wao.
Kazi ipo hakyanani!
Nawasilisha.
Siku ukitiwa ma do le ya m+ k u nd +u n i pia itakuwa burudani tosha kwako. It seems that unapenda sana hiyo michezo.Sijaanza Kutukanwa leo na kama kuna kitu ambacho napenda ni Kuwachokoza Watu na Kutukanwa ambapo Kwangu Mimi huona ni burudani tosha tu.
Ila hizo takataka umezisoma.
hahahahahaaaaaAcha Upopoma,kwani hujui hata hiyo miili yao hao wajeda ni Vifaa vya uokoaji?.Muangalie bichwa lake