GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,876
Zitto Kabwe ni nani mpaka aseme kwamba ana uhakika kuwa Jeshi la Wanachi la Tanzania ( JWTZ ) lina Vifaa ' Maalum ' vya Kijeshi vya Uokoaji ila anashangaa kuona halijahusishwa kikamilifu katika kuvitumia ili kuweza Kuokoa maisha ya Watanzania wenzetu katika Ajali ya MV Nyerere.
Ninavyojua ni kwamba Kutaja hovyo tena hadharani Vifaa vya Kijeshi ni sawa sawa na Kuuza Siri kwa Maadui wa Tanzania na kibaya zaidi Zitto Kabwe mwenyewe katika ' Twiti ' yake amekiri kabisa kwamba anajua na ana uhakika kuwa JWTZ wana hivyo vifaa katika Kambi yao tena ' Nyeti ' kabisa ya Ngerengere Mkoani Morogoro.
Sasa kama Zitto Kabwe anadhani kuwa JWTZ ni sawa sawa na Cyprian Musiba Kazi anayo na kama vile nawaona sasa JWTZ jinsi wanavyojipanga ili kuweza Kumfundisha adabu kwa kuwa na ' Kiherehere ' cha hadi kutaja Vifaa vyao Kinyume kabisa na Maadili na Utaratibu wao.
Kazi ipo hakyanani!
Nawasilisha.
Ninavyojua ni kwamba Kutaja hovyo tena hadharani Vifaa vya Kijeshi ni sawa sawa na Kuuza Siri kwa Maadui wa Tanzania na kibaya zaidi Zitto Kabwe mwenyewe katika ' Twiti ' yake amekiri kabisa kwamba anajua na ana uhakika kuwa JWTZ wana hivyo vifaa katika Kambi yao tena ' Nyeti ' kabisa ya Ngerengere Mkoani Morogoro.
Sasa kama Zitto Kabwe anadhani kuwa JWTZ ni sawa sawa na Cyprian Musiba Kazi anayo na kama vile nawaona sasa JWTZ jinsi wanavyojipanga ili kuweza Kumfundisha adabu kwa kuwa na ' Kiherehere ' cha hadi kutaja Vifaa vyao Kinyume kabisa na Maadili na Utaratibu wao.
Kazi ipo hakyanani!
Nawasilisha.