"Nasubiri kwa hamu maandamano ya CHADEMA Moshi"!

"Nasubiri kwa hamu maandamano ya CHADEMA Moshi"!

Status
Not open for further replies.
1:Usijaribu kututoa kwenye mjadala wa Katiba.Maandalizi ya Maandamano ya Upinzani Tarehe 10.10.2013 yanaendelea

Mswada unarudishwa bungeni.

Hii mbinu unayotumia ya propaganda ilishapitwa na wakati.Kuna mbinu mpya

Msome sana Carl Rove!

2:Uchaguzi ndani ya CHADEMA ni suala la kikatiba na halikuhusu.Uchaguzi ulifanyika 2009,miaka 5 inaisha mwaka 2014 kikatiba

3:Maandamano ya Nchi nzima 10.10.2013 yatajumuisha Mji wa Moshi.Kwahiyo jibu sahihi kwa kijana huyo ungemjibu kuwa yatafanyika Moshi tarehe 10.10.2013.

NB:Mambo ya ndani ya CHADEMA hayakuhusu

.....Mnafiki,Mzandiki, muongo na Mfitini.....
Kama Baba yao wa Magogoni...
 
Matusi, kejeli na maneno ya kitoto kama yako ni dalili za mwisho za kuoshiwa hoja! Kwaheri kwasababu ujumbe umefuka vizuri sana!

Katibu wa itikadi na uenezi usiyejua hata kiswahili.Ndio utu uzima huu?Ndiyo akili kubwa hizi?

Kwaheri pia maana huna hoja na huwezi mijadala zaidi ya mipasho.Umefanya vyema kukimbia.
 
Nimekutana na kijana asub leo wakati natoka mazoezini akaniuliza;
"Kaka Nape mambo vipi? Mie mshabiki kufa wa Chadema lakini sijapata mtu wa kunijibu kwanini Chadema kila wakipanga maandamano wanapanga, Dar,Mwanza, Arusha na nimesikia wanakwenda Mbeya tar. 10. Kwanini hawapangi maandamano anakotoka muasisi wa Chadema Mzee Mtei?!!!"
Nikainama chini nikamuuliza uchaguzi ndani ya chama chenu lini?! Akastuka kidogo, akanambia hivi unatakiwa kuwa mwaka huu kweli!?!! "Mhhh hilo nalo swali! Lakini hivi tukifanya uchaguzi Chama chetu kitapona kweli?! Nadhani bora tusifanya uchaguzi mpaka tutakapokamata dola"! Alisisitiza kijana.
Nikamjibu "BWANA YESU KRISTO ASIFIWE"!

Mhwshimiwa mwenezi inaelekea hata ubongo wako umechubuka kwa matumizi makubwa ya carolite. ngoja nikwambie kitu kimoja. Maandamano yeyote yanafanyika kukiwa na sababu maalumu kulingana na eneo sababu ilipo!

Arusha waliandamana kwa sababu ya meya wenu wa kuchonga ambaye mwenyewe laana za wanaarusha zimeanza ku take effect kwani juzi madiwani CCM arusha walianza rasmi kuweka mikoba kwapani baada ya hila za kifisadi kushindwa (Hongera wana Arusha) Moshi hakuna meya wa kuchonga meya wetu ni genuine from wana moshi

Mwanza nako kuna meya wa kuchonga sasa wanamwanza wafanyeje na nyie maccm mmeamua kutawala kibabe!

Mbeya nako uonevu umezidi kumbuka jeshi lilishindwa kutoa vijana mtaani isipokuwa mistari mitatu tu ya rais sugu ilituliza mzuka wa wana mbeya.

Cha muhimu kuliko vyote mwaka 2008 nilikuwa mmoja wa vijana tuliokuwa tunakusapoti wakati wakati unagombea M/mwenyekiti wa UVCCM. ulivyoenguliwa niliumia roho sana nikijua tumempoteza komredi lakini baada ya muda niligundua nini tatizo lako " UNAFIKI" heri wangekuua kabisa tuzike tujue haupo duniani kuliko damage unayofanya sasa ambayo imevuka mpaka kutoka kwenye chama chenu cha Wezi hadi serikalini sasa.

Namuomba Mungu kila siku akuondoshe duniani kwani hilo domo lako iko siku litatuletea genocide
 
babu na bibi na baadhi ya dada na shangazi wa mtei wapo wapi hata vitaga uchumi vingi vya mtei vipo wapi hili liko wazi kuwa ni moshi.
Unalifahamu shamba la mzee mtei pale maeneo ya Tengeru?
Unafahamu ndugu wa mtei?
 
-Akili ndogo ni ya kwako.Una akili gani kubwa ya kujadili suala lolote la kitaifa wewe ikiwa hata kozi yako shuleni hujawahi kuwa na uwezo wa kujifanyia assignment?

Katiba kupatikana Barabarani inawezekana.Hata Kenya,Afrika Kusini,Nigeria na Ghana zilipatikana Barabarani.Uwe unafanya tafiti kabla ya kuandika.

Pole kumbe hoja imekuwa OVERSIZE KWAKO!!!?!!! Basi waachie wenzio
 
Nape, we n mtu mhimu sana kuleta katika jamii harafu hutegemewi kuandika mambo ya kibongo fleva fleva, unajidisqualify vibaya mno Kama katibu mwenezi wa chama. Vinginevyo uwezo wa fikira uwe umeishia hapo.
Harafu, Ben saanane, kwa nn unapoteza mda wako kujibu sentence za kitoto namna hii?
 
Nimekutana na kijana asub leo wakati natoka mazoezini akaniuliza;
"Kaka Nape mambo vipi? Mie mshabiki kufa wa Chadema lakini sijapata mtu wa kunijibu kwanini Chadema kila wakipanga maandamano wanapanga, Dar,Mwanza, Arusha na nimesikia wanakwenda Mbeya tar. 10. Kwanini hawapangi maandamano anakotoka muasisi wa Chadema Mzee Mtei?!!!"
Nikainama chini nikamuuliza uchaguzi ndani ya chama chenu lini?! Akastuka kidogo, akanambia hivi unatakiwa kuwa mwaka huu kweli!?!! "Mhhh hilo nalo swali! Lakini hivi tukifanya uchaguzi Chama chetu kitapona kweli?! Nadhani bora tusifanya uchaguzi mpaka tutakapokamata dola"! Alisisitiza kijana.
Nikamjibu "BWANA YESU KRISTO ASIFIWE"!
Mkuu Nape, endelea kuyasubiria!.
Moshi ndio Ngome Kuu ya Chadema!, CCM hata mkikesha usiku na mchana kwa siku 360!, hamuitikisi, hivyo kwa maoni yangu, Moshi haihitaji kabisa maandamano ya Chadema!.

Hilo la uchaguzi wa ndani nalo neno!.

Kwa uzi huu, Mkuu Nape, kweli nimeamini, kuna watu wa CCM, hamlali kwa kuiwaza Chadema!, yaani Chadema inawakosesha kabisa usingizi, hadi mkikosa chochote cha kuandika, basi unaandika chochote tuu kuhusu Chadema ali muradi umeandika!.

Japo najua CCM mtashinda uchaguzi mkuu wa 2015! kwa mbinu zile zile, nilidhani huu sasa ni wakati wa kuendesha siasa za ukweli zaidi na sio ghilba kama kawaida!, CCM itaendelea kuchaguliwa kwa mazoea na sio kwa track record!, kama wewe ndio mmoja wa vinara, unakuja na uzi kama huu!, na hii mentality yako ndio mentality ya CCM as a whole!, please don't under estimates us that much!, ni vizuri, mkae mkijua, Watanzania wa leo, sio wajinga kama mnavyowadhania, hata kama CCM imekuwa madarakani kwa miaka 50 iliyopita na inataraji kuendelea kuwepo madarakani kwa miaka 50 mingine ijayo!, japo CCM has been fooling some people for sometimes, but you can't fool all the people, all the time!.

Pasco.
 
kaka Nape Nnauye naomba nikuulize kaswali kadogo ka darasa la pili tu,..
 
Last edited by a moderator:
Mhwshimiwa mwenezi inaelekea hata ubongo wako umechubuka kwa matumizi makubwa ya carolite. ngoja nikwambie kitu kimoja. Maandamano yeyote yanafanyika kukiwa na sababu maalumu kulingana na eneo sababu ilipo!

Arusha waliandamana kwa sababu ya meya wenu wa kuchonga ambaye mwenyewe laana za wanaarusha zimeanza ku take effect kwani juzi madiwani CCM arusha walianza rasmi kuweka mikoba kwapani baada ya hila za kifisadi kushindwa (Hongera wana Arusha) Moshi hakuna meya wa kuchonga meya wetu ni genuine from wana moshi

Mwanza nako kuna meya wa kuchonga sasa wanamwanza wafanyeje na nyie maccm mmeamua kutawala kibabe!

Mbeya nako uonevu umezidi kumbuka jeshi lilishindwa kutoa vijana mtaani isipokuwa mistari mitatu tu ya rais sugu ilituliza mzuka wa wana mbeya.

Cha muhimu kuliko vyote mwaka 2008 nilikuwa mmoja wa vijana tuliokuwa tunakusapoti wakati wakati unagombea M/mwenyekiti wa UVCCM. ulivyoenguliwa niliumia roho sana nikijua tumempoteza komredi lakini baada ya muda niligundua nini tatizo lako " UNAFIKI" heri wangekuua kabisa tuzike tujue haupo duniani kuliko damage unayofanya sasa ambayo imevuka mpaka kutoka kwenye chama chenu cha Wezi hadi serikalini sasa.

Namuomba Mungu kila siku akuondoshe duniani kwani hilo domo lako iko siku litatuletea genocide

Mtakuja kwa njia moja mtasambaa kwa njia saba! Kama nawakera kiasi hiki basi nafanya kazi yangu vizuri sana! You made my day!
 
Kwani chadema ni chama cha siasa? Ile ni kampuni ya wanafamilia..

Mwenyekiti wa Vijana UVCCM Kilimanjaro anastahili kuandika na kujenga hoja kuliko unavyofanya.Unatia aibu!

By the way wewe na huyu Katibu wa Itikadi na Uenezi si mna kambi tofauti? Unganisheni chama chenu kwanza kabla ya kurukia mambo ya ndani ya CHADEMA
 
Nimekutana na kijana asub leo wakati natoka mazoezini akaniuliza;
"Kaka Nape mambo vipi? Mie mshabiki kufa wa Chadema lakini sijapata mtu wa kunijibu kwanini Chadema kila wakipanga maandamano wanapanga, Dar,Mwanza, Arusha na nimesikia wanakwenda Mbeya tar. 10. Kwanini hawapangi maandamano anakotoka muasisi wa Chadema Mzee Mtei?!!!"
Nikainama chini nikamuuliza uchaguzi ndani ya chama chenu lini?! Akastuka kidogo, akanambia hivi unatakiwa kuwa mwaka huu kweli!?!! "Mhhh hilo nalo swali! Lakini hivi tukifanya uchaguzi Chama chetu kitapona kweli?! Nadhani bora tusifanya uchaguzi mpaka tutakapokamata dola"! Alisisitiza kijana.
Nikamjibu "BWANA YESU KRISTO ASIFIWE"!
Teh teh teh!! Ngoja makamanda wajibu hii.
 
Nimekutana na kijana
asub leo wakati natoka mazoezini

hahahahahaha.!?
Dah, eti wakati natoka "mazoezini!.???
Dah yani na wewe unajifanya mtu wa mazoezi, sasa hiyo minyama uzembe inayoning'inia umeitoa wapi?? Limwili limekaa kivivu vivu kama libaloon afu unajifanya mwanamazoezi, teh teh teh
au ulilala bar, ukakutana nae njia alfajiri wakati unarejea maskani???
 
1:Usijaribu kututoa kwenye mjadala wa Katiba.Maandalizi ya Maandamano ya Upinzani Tarehe 10.10.2013 yanaendelea

Mswada unarudishwa bungeni.

Hii mbinu unayotumia ya propaganda ilishapitwa na wakati.Kuna mbinu mpya

Msome sana Carl Rove!

2:Uchaguzi ndani ya CHADEMA ni suala la kikatiba na halikuhusu.Uchaguzi ulifanyika 2009,miaka 5 inaisha mwaka 2014 kikatiba

3:Maandamano ya Nchi nzima 10.10.2013 yatajumuisha Mji wa Moshi.Kwahiyo jibu sahihi kwa kijana huyo ungemjibu kuwa yatafanyika Moshi tarehe 10.10.2013.

NB:Mambo ya ndani ya CHADEMA hayakuhusu

.....Mnafiki,Mzandiki, muongo na Mfitini.....

Hapa tosha kabisa,hakuna haja ya kuendelea kubishana na mwenge son,majibu haya tosha
 
Matusi, kejeli na maneno ya kitoto kama yako ni dalili za mwisho za kuoshiwa hoja! Kwaheri kwasababu ujumbe umefuka vizuri sana!
Hoja umeishiwa wewe unayejenga ukabila bila aibu, shetani mkubwa! watu kama ninyi ni bora mngekufa kabla hamjalisababishia taifa hili maafa makubwa kwa fikra zenu duni! Hivi wewe mwendawazimu wa kutupwa bado unadhani bado kuna watu wajinga wanaoamini propaganda zako za kipumbavu za ukanda na udini?
 
Nimekutana na kijana asub leo wakati natoka mazoezini akaniuliza;
"Kaka Nape mambo vipi? Mie mshabiki kufa wa Chadema lakini sijapata mtu wa kunijibu kwanini Chadema kila wakipanga maandamano wanapanga, Dar,Mwanza, Arusha na nimesikia wanakwenda Mbeya tar. 10. Kwanini hawapangi maandamano anakotoka muasisi wa Chadema Mzee Mtei?!!!"
Nikainama chini nikamuuliza uchaguzi ndani ya chama chenu lini?! Akastuka kidogo, akanambia hivi unatakiwa kuwa mwaka huu kweli!?!! "Mhhh hilo nalo swali! Lakini hivi tukifanya uchaguzi Chama chetu kitapona kweli?! Nadhani bora tusifanya uchaguzi mpaka tutakapokamata dola"! Alisisitiza kijana.
Nikamjibu "BWANA YESU KRISTO ASIFIWE"!

Chadema ndio chama tawala Moshi, hivyo ni jukumu la Maccm kuandama pale yatakapoona hayatendewi haki.
 
Mkuu, umejibu bila kumsoma Nape kiundani, na hivyo umejitega. Sentesi ya Nape inasema ".....anakotoka Mzee Mtei". Sio Anakokaa au kuishi. Kama sikosei nadhani mzee Mtei ANATOKA Mkoa wa Kilimanjaro - hukoooo Moshi alipolenga mwenzio.

Unatakiwa kujua kusoma,kuelewa na kutafsiri kilichoandikwa.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom