itabidi kubenea aiuze mwanahalisi,maana hakuna jinsi atageuka asijidharaulishe....
njaa mbaya sana wazeia......
itabidi makala hizo tuwapelekee wale wazungu wAliomuona wa maana huyu jamaa watajua kumbe njaa huwa inamsumbua anabuni mambo ya kuandika ili auze gazeti