Nassari kortini kwa kuchoma bendera ya CCM

Nassari kortini kwa kuchoma bendera ya CCM

Tuliochoma bendera ni sisi, walipomkata tukawa tunajikusanya hapa polisi polisi usa-river walipoona tunazidi kuwa wengi wakataka wamuachie tukagoma tukataka apelekwe mahakamani ili tujue ana kosa gani ilihali sisi machalii ndo tulochoma bendera? akagoma kutoka polisi hadi akapelekwa mahakamani
 
Wapi nilisema nina chuki na chadema kama siyo Una ubongo Wa samaki. Ninayachukia matendo ya vurugu yanayotendwa na viongozi Wa chadema kufanya siasa za vurugu na. chuki

Ama kweli ukiwa msahaulifu usiwe MUONGO.Kwenye post yako moja umeandika unawachukia CHADEMA au Unakichukia CHADEMA,au alikuwa siyo wewe?

Ninaweza kuwa na ubongo wa samaki lakini mwenzangu unaubongo wa NZI.
 
MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (CHADEMA) jana alifikishwa Mahakama ya Mwanzo Maji ya Chai na kusomewa shtaka la uharibifu wa mali na kuchoma bendera ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), yenye thamani ya Sh laki mbili na elfu tano.

Mbunge huyo alisomewa shtaka hilo mbele ya Hakimu, David Mwita.

Ilidaiwa na upande wa mashitaka kuwa juzi saa 11:00 jioni Mbunge huyo alichoma bendera za CCM kwa makusudi zenye thamani ya Sh 205,000 huku akijua kuchoma bendera hiyo ni ukiukwaji wa kanuni na sheria za nchi.

Hata hivyo, Nassari alikana kuchoma bendera hiyo na kupewa dhamana, ambapo wadhamini watatu walijitokeza na kusaini bondi ya Sh milioni 1.5.

Mbunge huyo anatetewa na mawakili watatu, ambao ni James Millya, Charles Adiel na Marceline Bandiye. Kesi hiyo imeahirishwa hadi Desemba 24, mwaka huu.

Chanzo:
Gazeti la Habari Leo


Mahakama ya mwanzo halafu anatetewa na Mawakili? Hii imeanza lini Tanzania?
 
Mahakama ya mwanzo bond ya 1.5ml mbona kama kubwa sana na hao mawakili wanatafuta nini mahakama ya mwanzo si watamfunga hakimu mwenyewe au sheria zimebadilika siku hizi?
 
Ama kweli ukiwa msahaulifu usiwe MUONGO.Kwenye post yako moja umeandika unawachukia CHADEMA au Unakichukia CHADEMA,au alikuwa siyo wewe?

Ninaweza kuwa na ubongo wa samaki lakini mwenzangu unaubongo wa NZI.


Binti naona unalazimisha mume Wa kichaga kwa nguvu sasa. Onyesha hiyo post niliyotuma huku , halafu unaniuliza siyo wewe kumbe huna uhakika siyo.

Nimekudharau sana na kukuongezea jina kuwa ni Kitasa Wa chadema.
 
Binti naona unalazimisha mume Wa kichaga kwa nguvu sasa. Onyesha hiyo post niliyotuma huku , halafu unaniuliza siyo wewe kumbe huna uhakika siyo.

Nimekudharau sana na kukuongezea jina kuwa ni Kitasa Wa chadema.

Halafu hakuna kabila la WACHAGGA.Pole sana ,sina shida na mume wa aina yoyote yule.Wajua vyema ulichokiandika ila unaona soni.

Halafu nikafanye nini kwa Mmarangu?Hata huyo mume ningekuwa na shida ningemfuata MACHAME kwetu basi.
 
Tuliochoma bendera ni sisi, walipomkata tukawa tunajikusanya hapa polisi polisi usa-river walipoona tunazidi kuwa wengi wakataka wamuachie tukagoma tukataka apelekwe mahakamani ili tujue ana kosa gani ilihali sisi machalii ndo tulochoma bendera? akagoma kutoka polisi hadi akapelekwa mahakamani

unajisifia ujinga, kuchoma bendera sio tu ya ccm hata ya chama chochote ni chukizo kwa wenye bendera yao. So kulikuwa na haja gani ya kuleta chukizo hilo kama si ushamba! Mapenzi ya mtu kwenye chama chochote yako moyoni na si kwenye bendera kama vipi mchome mioyo na si bendera na mwisho wa siku utakuja umwagaji damu isio na hatia.Nasari aache siasa za kijuha sawa na jitu lisilokwenda shule.
 
Kuchoma bendera ni kosa kwa mujibu wa sharia gani? On a serious note, nataka nifahamu.

Huyu dogo akubali kubadilika na siasa isimfanye akapoteza haiba yake. aheshimu vyama vingine kwa kuwa nafahamu ccm kwa wingi wao wangetaka kuchoma bendera za vyama vingine wangeweza. Siasa za maji taka aziache
 
Halafu hakuna kabila la WACHAGGA.Pole sana ,sina shida na mume wa aina yoyote yule.Wajua vyema ulichokiandika ila unaona soni.

Halafu nikafanye nini kwa Mmarangu?Hata h
uyo mume ningekuwa na shida ningemfuata MACHAME kwetu basi.


Kama hakuna kabila la kichaga kuna nini sasa.

Tety bado binti Mdogo sana Wa miaka ya themanini unashabikia chadema ambao wenzako wanapiga maisha wakati wewe unalala Njaa. Mwanamke Wa kimachame siwezi oa hata siku moja mnaua wanaume wenye Mali ndanj.

Wewe unakipenda chadema kwasababu Mwenyekiti Wa chama ni mbowe mchaga mwenzetu nadhani. Angalia malengo ya chama siyo ukabila.

Maamuzi yako ya Leo ndio maisha yako ya kesho.
 
Kama hakuna kabila la kichaga kuna nini sasa.

Tety bado binti Mdogo sana Wa miaka ya themanini unashabikia chadema ambao wenzako wanapiga maisha wakati wewe unalala Njaa. Mwanamke Wa kimachame siwezi oa hata siku moja mnaua wanaume wenye Mali ndanj.

Wewe unakipenda chadema kwasababu Mwenyekiti Wa chama ni mbowe mchaga mwenzetu nadhani. Angalia malengo ya chama siyo ukabila.

Maamuzi yako ya Leo ndio maisha yako ya kesho.

Usilolijua ni kama usiku wa kiza!Ungejua umri wangu kwanza ungejishangaa kwa kunidharau.

Kwa information Kilimanjaro kuna makabila yafuatayo:

1.Wamarangu
2.Warombo
3.Wamachame
4.Wakibosho
5.Wasiha
6.Wa Kirua
7.Wapare.
.
.
Hawa wote kaka yangu wanaongea lugha tofauti,wala hawasikilizani ndiyo maana hakuna kabila linaloitwa WACHAGGA.Upo?Kamuulize Babu yako atakujibu vyema.

Wenzio tumefanya history na tukafaulu vyema,tuliogopa kufundisha sababu ya mazingira tukaamua kuwa wahasibu.

Pole sana,hunijui,ni tafute nitakwambia mimi ni nani?Umri wangu ni miaka mingapi,nimezliwa lini na wapi.

Kwa sasa jua tu hakuna kabila linaitwa WACHAGGA.Mie mwenyewe siyo MCHAGGA bali ni MMACHAME upo?

Sina wala ukabila ninakipenda CHADEMA sababu ya SERA zake na utumishi wake kwa umma,kuwapa ELIMU watanzania kwenye masuala ya elimu ya URAIA
 
Usilolijua ni kama usiku wa kiza!Ungejua umri wangu kwanza ungejishangaa kwa kunidharau.

Kwa information Kilimanjaro kuna makabila yafuatayo:

1.Wamarangu
2.Warombo
3.Wamachame
4.Wakibosho
5.Wasiha
6.Wa Kirua
7.Wapare.
.
.
Hawa wote kaka yangu wanaongea lugha tofauti,wala hawasikilizani ndiyo maana hakuna kabila linaloitwa WACHAGGA.Upo?Kamuulize Babu yako atakujibu vyema.

Wenzio tumefanya history na tukafaulu vyema,tuliogopa kufundisha sababu ya mazingira tukaamua kuwa wahasibu.

Pole sana,hunijui,ni tafute nitakwambia mimi ni nani?Umri wangu ni miaka mingapi,nimezliwa lini na wapi.

Kwa sasa jua tu hakuna kabila linaitwa WACHAGGA.Mie mwenyewe siyo MCHAGGA bali ni MMACHAME upo?

Sina wala ukabila ninakipenda CHADEMA sababu ya SERA zake na utumishi wake kwa umma,kuwapa ELIMU watanzania kwenye masuala ya elimu ya URAIA

Maembe, machungwa, ndizi haya yote ni Matunda. Wamachame, wakirua, warombo , wamarangu wote hawa wanaingia kundi moja tu Wachaga.

Suala la lahaja hapa lipo hivi anapoongea mmarangu na mkirua wanasikilizana vema sana Nami nafanya Nao kazi tunaelewana nakadhalika. Mmachame na mkibosho hawaelewani sana Bali kuna baadhi ya lahaja wanaingiliana kama umesoma historia vema kama hukukariri na kuwepo kwao Kilimanjaro.

Suala la kusema chadema unakipenda Sera zake kwa umma na elimu ya Uraia unapotosha umma Wa watanzania kwani Sera za chadema ni hizi:
1: vurugu
2: maandamano kupinga kila jambo.
3: kusapoti ushoga Wa mataifa ya ulaya kama ujerumani
4: kupandikiza chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao.
5: kuchochea migomo kila pahala haswa kwa wafanyakazi.
 
Back
Top Bottom