Nassari kortini kwa kuchoma bendera ya CCM

Nassari kortini kwa kuchoma bendera ya CCM

piga ua cdm huyo hilo sio kosa kosa ni kuchana bendera

attachment.php
 
Siku watanzania wote watakapopata akili ya kujitegemea (kujua mema na mabaya), Mungu atarudi wiki hiyohiyo! Inashangaza sana hata huyo Hakimu anayepoteza muda wake kushughulikia suala la kesi ya Bendera (Kaniki) ya CCM na kutoulizia wizi wa fedha ambazo zingeweza kusaidia hata ndugu yake kupata mkopo wa kusoma shule! Hivi hizo bendera za CCM zinatusaidiaje katika maisha ya kila siku? Ndiyo maana kumbe pale Mlimani wanawaita Ma-Ngwini!
 
Na wamasai Wa ngabobo walimkosa kumtandika, tatizo nasary ni mkabila na mkanda.

Ila hajakuzidi wewe.Mwenye chuki na watu waliotofauti kiitikadi nawe.

Halafu ulishasema UNACHUKI ya dhati na CHADEMA,kwa hiyo chochote utakachozungumza kinatokana na chuki ya chama mtu aliko na si kosa lake.
 
Bendera za ccm zimeeka na kuchoka kama chama chao mpaka nyingine hazijulikani hata rangi yake ambapo inapelekea kuona kama ni uchafu unaostahili kuondolewa machoni pa watu na kuchomwa.

IMG_4530.jpg
 
Yale Yale ningeleta hii thread Mimi bavicha wengi wangenitukana sana.

Lakini wataona jinsi mbunge wao alivyopwaya kwenye ubunge. Ni mzigo kwake inabidi mwakani wanameru wampunzishe , siasa za kuchoma bendera ni za chuki na machafuko kuleta.

Ningeshangaa sana we bwe..ge usingeigia ktk uzi huu mimi huwa unanikera sana huna cha kuongea zaidi ya Nassari yani kila siku ni huyo tu au wewe ni ke mlipanga muoane akakutosa.na ipo siku utasababisha nipigwe ban kijana gani hupendi mafanikio ya mwenzio
 
Hasira za dogo
wakati mwingine huwa namshangaa
  • alitaka Vijana waende Ikulu kwa miguu kutoka Arumeru hadi Magogoni
  • alitaka Nchi ya kaskazini tu ijitawale tena yenye mikoa mitatu tu
Su ajabu machalii wamempandisha munkari naye akachoma kweli

Hahahahaha umenifurahisha kweli
 
Sasa kama chama kinachochukuliwa kama mbadala kinafuata ya walikuwepo mabadiliko yamkuwa na uzito gani??!!!

siungi mkono vurugu/hujuma ama hila zozote katika siasa....

aliyechoma ni nassari na wala siyo chama (japo ni mwanachama na mbunge kutoka katika chama)

na swala la kuchoma limekuwa ni jambo la kawaida maana CCM wamechoma kadi/bendera za CDM kwa kitambo kirefu wala halikuchukuliwa kuwa "JAMBO BAYA" hadi walipotendwa wao
 
Ila hajakuzidi wewe.Mwenye chuki na watu waliotofauti kiitikadi nawe.

Halafu ulishasema UNACHUKI ya dhati na CHADEMA,kwa hiyo chochote utakachozungumza kinatokana na chuki ya chama mtu aliko na si kosa lake.

Wapi nilisema nina chuki na chadema kama siyo Una ubongo Wa samaki. Ninayachukia matendo ya vurugu yanayotendwa na viongozi Wa chadema kufanya siasa za vurugu na. chuki
 
Ningeshangaa sana we bwe..ge usingeigia ktk uzi huu mimi huwa unanikera sana huna cha kuongea zaidi ya Nassari yani kila siku ni huyo tu au wewe ni ke mlipanga muoane akakutosa.na ipo siku utasababisha nipigwe ban kijana gani hupendi mafanikio ya mwenzio

Maendeleo yapi ninamuonea wivu nimesema hapa , mada ni kuchoma bendera ya chama changu cha Ccm na hapa umedhihirisha kuwa wewe ni KITASA.
 
Mpuuzi aliyemvisha mbwa bendera ya CHADEMA alitunukiwa uwaziri na msomi "profesa tezi dume"
 
... Kuchoma Bendera Tu? Mbona Nimezichoma Sana Za Ccm?
 
Ujana unashida sana, badala ya kufanya mambo ya maana mtu unashitskiwa kwa mambo petty.
Nassari ukue!


Na kweli yaani bora angeenda kuiba pesa za ESCROW kwani na yeye angetetewa na IKULU. Kwani Jeshi la Polisi hawana meno ya kuwashitaki wahalifu wa ESCROW isipokuwa ina meno makali sana ya kuwashitaki wachoma bendera za CCM.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINGAMIZi..........



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Back
Top Bottom