Nassari kortini kwa kuchoma bendera ya CCM

Nassari kortini kwa kuchoma bendera ya CCM

Halafu hakuna kabila la WACHAGGA.Pole sana ,sina shida na mume wa aina yoyote yule.Wajua vyema ulichokiandika ila unaona soni.

Halafu nikafanye nini kwa Mmarangu?Hata huyo mume ningekuwa na shida ningemfuata MACHAME kwetu basi.
hii ndio tofauti ya wachsga na watanzania
 
Maembe, machungwa, ndizi haya yote ni Matunda. Wamachame, wakirua, warombo , wamarangu wote hawa wanaingia kundi moja tu Wachaga.

Suala la lahaja hapa lipo hivi anapoongea mmarangu na mkirua wanasikilizana vema sana Nami nafanya Nao kazi tunaelewana nakadhalika. Mmachame na mkibosho hawaelewani sana Bali kuna baadhi ya lahaja wanaingiliana kama umesoma historia vema kama hukukariri na kuwepo kwao Kilimanjaro.

Suala la kusema chadema unakipenda Sera zake kwa umma na elimu ya Uraia unapotosha umma Wa watanzania kwani Sera za chadema ni hizi:
1: vurugu
2: maandamano kupinga kila jambo.
3: kusapoti ushoga Wa mataifa ya ulaya kama ujerumani
4: kupandikiza chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao.
5: kuchochea migomo kila pahala haswa kwa wafanyakazi.

Pumb*vu
 
Kuchoma bendera ni kosa Ila wafuasi wengi wa ccm wamechoma bendera za Chadema
Hapo ni kama football uwanjani, ukimkwatua mwenzie kama refa hakukuona imetoka, akiamu kurudishia na refa akamuona imekula kwake, utaishia kadi ya njano au nyekundu
 
Kama kweli kachoma hakuwa na sababu ya kufanya hivyo!!!

Ujana unashida sana, badala ya kufanya mambo ya maana mtu unashitskiwa kwa mambo petty.
Nassari ukue!

Kama Nassar kafanya kosa je huyu aliyemvesha Mbwa Bendera ya CDM alichukuliwa hatua gani?



attachment.php
 
Last edited by a moderator:
Maembe, machungwa, ndizi haya yote ni Matunda. Wamachame, wakirua, warombo , wamarangu wote hawa wanaingia kundi moja tu Wachaga.

Suala la lahaja hapa lipo hivi anapoongea mmarangu na mkirua wanasikilizana vema sana Nami nafanya Nao kazi tunaelewana nakadhalika. Mmachame na mkibosho hawaelewani sana Bali kuna baadhi ya lahaja wanaingiliana kama umesoma historia vema kama hukukariri na kuwepo kwao Kilimanjaro.

Suala la kusema chadema unakipenda Sera zake kwa umma na elimu ya Uraia unapotosha umma Wa watanzania kwani Sera za chadema ni hizi:
1: vurugu
2: maandamano kupinga kila jambo.
3: kusapoti ushoga Wa mataifa ya ulaya kama ujerumani
4: kupandikiza chuki kwa wananchi dhidi ya serikali yao.
5: kuchochea migomo kila pahala haswa kwa wafanyakazi.

Wewe unaichukia sababu unakosa mahali pa kula.Wenye vurugu ni MACCM ambaya muda wote wanatumia polisi kudhoofisha upinanzanina haki za watu.

Issue ya USHOGA hakuna mtu anayesupport,bali ujue ni hulka ya bindamu kutaka kufanya kitu ambaco hata kama kimekatazwa atatak kujaribu.Issue ya USHOGA haikuanzia mataifa ya ULAYA bali imeanzia mashariki ya kati,na ukienda mbali zaidi kwa kwetu hapa sana nimaenea ya PWANI,na huwa sielewi kwanini yameanzia maendeo ya PWANI na si vijijini.Usijeukampamtu kesi wakati wa kumpa kesi unamjua lakini kwa sababu unampenda unamzushia mtu mwingine.

Kodi ya wanaosupport USHOGA hapa kwetu imekuwa inatumika na hata wewe mwenyewe kwa kujua au kutokujua.Unapopeleka kapu kuomba unadhani kodi ya shoga haipo?Hasa kwenye pesa za wafadhili?

Tena nafuu hawa wenzetu wameona ni vyema wakajulikana hawa mashoga na kutokea siku wakatafuta njia ya kuwaelimisha ili waache tabia hizo,hebu tujiangalie siye huku tunafisha eti hakuna mashoga wakati wamejaa tele wakumwaga hasa maeneo ya PWANI,tusiwe wepesi kuwanyooshea wengine vidole wakati vingi ya vidole hivi vyatuelekea.

kaka kua japo kidogo ili uwe sawa na UMRI wako.

Maandamani ni haki iliyondani ya katiba hivyo sioni kwanini CCM wakianadamana wao ni sawa lakini upinzani ni tatizo.Hebu ACHENI KUIBA MALI ZA UMMA,na MTUPE HAKI ZETU ZA MSINGI muone kama kuna mtu ataitisha maandamano.

Wewe kama serikali unashindwa kumlipa stahiki zake mfanyakazi halafu uankuja kuwalaumu CHADEMA?Hivi akili yako inafanya kazi vyema?Umeshindwa kulipa mfanyakazi wako wa shamba,bustani,ndani ,mlinzi hawa wamekugomea kufanya kazi mpaka kieleweke ,lawama unapeleka upinzani?Kweli zinakutosha wewe.Hiviuchungu wa kutolipwa anaomfanyakazi au mwanachama wa CHADEMA au VIONGOZI wake?

Ukiona hujui kitu uliza kaka usijekurupuka utachekwa.Wapeni haki wafanyakazi ,walimu,madaktari nk.Jiulize leo kwanini wale WAKAGUZI, na WAHASIBU hawagomi toka siku ya kwanza mpaka siku mikataba yao inaisha?

Kuna vitu kabla haujaandika jiulize mara zaidi ya kumi ujiridhishe.Haingii akilini nigome kufanya kazi sababu tu kufuata mkumbo,lazima niwe na sababu za msingi za kufanya hivyo,kama kutolipwa stahiki zangu nknk.
 
ilifikaje mikononi mwake, aliona ni uchafu akachoma kuepusha kipindupindu au ebola, hongera Nassari. Kitu chochote kisicho mahala pake ni uchafu.
 
Kama Nassar kafanya kosa je huyu aliyemvesha Mbwa Bendera ya CDM alichukuliwa hatua gani?



attachment.php


hii ni kazi ya vichaa wa chadema
 
Last edited by a moderator:
hii ni kazi ya vichaa wa chadema

Kwa hiyo Mwigulu ni kichaa wa CHADEMA? kiukweli kuishabikia CCM ni lazima uwe na akili za maiti na wewe ni mmojwapo wa hao wenye akili za maiti.
 
Hongera Nassari, Sanda haitakiwa kuonyeshwa mahala palipo na watu hai, chomeni moto hzo sanda
 
Usilolijua ni kama usiku wa kiza!Ungejua umri wangu kwanza ungejishangaa kwa kunidharau.

Kwa information Kilimanjaro kuna makabila yafuatayo:

1.Wamarangu
2.Warombo
3.Wamachame
4.Wakibosho
5.Wasiha
6.Wa Kirua
7.Wapare.
.
.
Hawa wote kaka yangu wanaongea lugha tofauti,wala hawasikilizani ndiyo maana hakuna kabila linaloitwa WACHAGGA.Upo?Kamuulize Babu yako atakujibu vyema.

Wenzio tumefanya history na tukafaulu vyema,tuliogopa kufundisha sababu ya mazingira tukaamua kuwa wahasibu.

Pole sana,hunijui,ni tafute nitakwambia mimi ni nani?Umri wangu ni miaka mingapi,nimezliwa lini na wapi.

Kwa sasa jua tu hakuna kabila linaitwa WACHAGGA.Mie mwenyewe siyo MCHAGGA bali ni MMACHAME upo?

Sina wala ukabila ninakipenda CHADEMA sababu ya SERA zake na utumishi wake kwa umma,kuwapa ELIMU watanzania kwenye masuala ya elimu ya URAIA

Nimekuonea fahari kwa maneno yako mazuri..
 
Kwa hiyo Mwigulu ni kichaa wa CHADEMA? kiukweli kuishabikia CCM ni lazima uwe na akili za maiti na wewe ni mmojwapo wa hao wenye akili za maiti.

Mwigulu yuko wapi hapo? Chadema ni chama cha matahira, mateja, na wasagaji. Hili kundi ni zaidi ya akili za maiti!
 
Nimekuonea fahari kwa maneno yako mazuri..

kweli ninyi wote ni div 5! Kuna kabila linaitwa mtanzania? Mbona wajitaja mie urai wangu mtanzania? Ndani ya tanzania ndiko kuna wachaga, wamasai, wasukuma, n.k. Kinachotofautisha wapare, wamarangu, warombo, n.k, ni lafudhi ila wote ni wachaga kwa maana kwamba wanasikilizana. Warombo wenyewe hadi kule vijijin lafudhi hutofautiana, hivyo bado hakuna kabila linaitwa warombo; mworombo wa mkuu, mashati, useri, n.k lafudh ni tofauti au matamshi. Humo humo mfano mashati; mmashati wa mrao na wa olele, matamshi hutofautiana ndo maana kuepusha huo mlolongo wotetni wachaga.
 
Nimekuonea fahari kwa maneno yako mazuri..

Kwanini Kaka Frank King,ukiwa mkweli utakuwa huru daima.Ukijificha hata dhamira yako itajificha.Katika Familia yangu peke yangu ni mpinzani,uzuri ninawapa makavu pale inapobidi.
 
Back
Top Bottom