Nassari kortini kwa kuchoma bendera ya CCM

Nassari kortini kwa kuchoma bendera ya CCM

Yale Yale ningeleta hii thread Mimi bavicha wengi wangenitukana sana.

Lakini wataona jinsi mbunge wao alivyopwaya kwenye ubunge. Ni mzigo kwake inabidi mwakani wanameru wampunzishe , siasa za kuchoma bendera ni za chuki na machafuko kuleta.

Ndugu yangu huwa una siasa za kitoto kweli, naamini ni kosa kuchoma bendera bila kujali nani kachoma kwani hali hii inaweza kuleta chuki na hatimaye machafuko. Hivi nikuulize kipi kilipaswa kuchukuliwa hatua kwa haraka na kupelekwa mahakamani? kukamata wale wote waliobeba hela kwenye rambo sakata la escrow ama kumpeleka aliyechoma bendera mahakamani mara moja? Ukiweza kunijibu nitakuuliza swali lingine ili ujue kama kweli wewe una siasa za maendeleo au za ushabiki wa kitoto.
 
kila siku nawaambia ccm huu sio wakati wa hila, unaacha kuwafikisha mahakamani watu walioiba mamilioni ya fedha unampeleke mtu aliyechoma bendera tene kwa ulinzi mkali

Kumbe yale matambara ya wajinga nayo mnayaita bendera?
 
Sina tatizo na utekekezaji wa sheria kama kweli Nassari amefanya kosa. Ila ukitaka kuamini wazungu kutudharau ni haki yao ni hapa. Juzi kumetokea sakata la escrow, imesemekana wengine walibeba hela mpaka kwenye mifuko ya rambo lakini hatusikii mtu kapelekwa mahakamini. Sasa unajiuliza kama ni kesi ya kukimbiza mahakamani ilikuwa ni ipi kwa maslahi ya taifa, bendera ya ccm ama fedha ambazo zingejenga shule, kununua dawa, kujenga miundo mbinu? Hapo ndio unaangalia upeo wetu waafrika ulipofikia, sio wasomi au ambao hawakusoma wote ni wapuuzi tu. Kwa mawazo na tabia za namna hii unategemea kupata wazo la watu hata kujenga viwanda ili kutoa ajira? Ama utaishia kuona viongozi na wasomi kwenda kwenye ushirikina ili wabaki kwenye madaraka yao. Hapo utaona wabunge na viongozi wa ccm wanasimama bungeni wanasema wapinzani hawataki maendeleo kisa kachoma bendera wakati pesa zilizoibwa na zinazoweza kuleta maendeleo watasema sio za wananchi!!!

Mimi huwa ninaamini bin;adamu wote siyo sawa. Sisi Waafrica , na hasa Watanzania hatuko kama binadamu wengine wa dunia hii. Mambo tunayoyafanya no vichekesho kwa watu wa mataifa mengine , hasa Ulaya na Amerika .
 
Benders ya CCm inasamani ya 205000. Dhamana 1500'000/. CCm kweli Majambazi. Tutafika kweli?.
 
Bendera ya CCM imekuwa bendera ya Taifa ? Policcm wamechemsha.
 
Yale Yale ningeleta hii thread Mimi bavicha wengi wangenitukana sana.

Lakini wataona jinsi mbunge wao alivyopwaya kwenye ubunge. Ni mzigo kwake inabidi mwakani wanameru wampunzishe , siasa za kuchoma bendera ni za chuki na machafuko kuleta.

vp kuhusu siasa za kubeba pesa za wananchi kwenye rambo? nassari ni mwiba ndugu, kama ulikua hujui fuatilia siasa za arumelu uone jinsi anavo imaliza ccm kwa kasi just like sugu hapa mbeya
 
kiukwel uwezo wa kufikiri wa wanaccm wengi ni mdogo sana, kesi za kipuuz kama hz ndizo zinazo wapa umaarufu zaidi viongoz wa cdm, suala la escrow a/c wamelipotezea harafu wanakomaa na kesi-ushuzi km hii
 
Je hawa walishtakiwa?
index.jpg
 
mahakama ya mwanzomaji ya chai.....mbunge huyo anatetewa na mawakili watatu:lalala::bathbaby::A S-confused1::banplease:😛lane:
 
Hizo mbona zinachomwasana huku uswazi hamsemi nyie magamba?
 
Kule Zanzibar ccm wamepachua bendera za Uamsho na kuzichanachana wao wameshtakiwa na nani?
 
Sina tatizo na utekekezaji wa sheria kama kweli Nassari amefanya kosa. Ila ukitaka kuamini wazungu kutudharau ni haki yao ni hapa. Juzi kumetokea sakata la escrow, imesemekana wengine walibeba hela mpaka kwenye mifuko ya rambo lakini hatusikii mtu kapelekwa mahakamini. Sasa unajiuliza kama ni kesi ya kukimbiza mahakamani ilikuwa ni ipi kwa maslahi ya taifa, bendera ya ccm ama fedha ambazo zingejenga shule, kununua dawa, kujenga miundo mbinu? Hapo ndio unaangalia upeo wetu waafrika ulipofikia, sio wasomi au ambao hawakusoma wote ni wapuuzi tu. Kwa mawazo na tabia za namna hii unategemea kupata wazo la watu hata kujenga viwanda ili kutoa ajira? Ama utaishia kuona viongozi na wasomi kwenda kwenye ushirikina ili wabaki kwenye madaraka yao. Hapo utaona wabunge na viongozi wa ccm wanasimama bungeni wanasema wapinzani hawataki maendeleo kisa kachoma bendera wakati pesa zilizoibwa na zinazoweza kuleta maendeleo watasema sio za wananchi!!!

Ndio maana tunashangaa wakati kama huu shida kama hizo mbunge anapataje muda wa kufanya mambo kama hayo wakati anawajibika kwa mengi yenye manufaa zaidi
 
Back
Top Bottom