BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
lol hahahaha ulianzisha uzi wa nini kama huna ushahidi wa kutosha kutetea ulichoandika? Hayo mazuri ya Serikali unayaona katika nyanja zipi nilizoziweka hapo juu!?
Nenda kamuulize nassari yeye ndio alisema leo mbele ya pinda serikali imefanya mambo mengi mazuri na akazidiashia kwa kusema myonge nyongeni haki yake mpeni...sasa sijui kwenye nyanja ipi na yeye ni mpinzani kayaona hayo mazuri na alisema pia pamoja mimi ni mpizani lakini mazuri ya serikali nayaona