Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Only if you NEW??Only if you new!
Yaani nimuonee wivu mtu anayewacha kuwatumikia wananchi wa jimbo lake analipwa pamoja na marupurupu zaidi ya $200,000 yearly anaenda kupigwa baridi ya Chicago IL. Wewe utakuwa mshamba sana wa Western countries itakuwa.
Wewe kwa akili yako timamu ingekuwa US kutamu, Lemutuz ungemuona Tanzania?
Hongera kwa kizungu
Nywa nywa nywa nywa nywa nyaw