Nassari aingia mkataba na Obama Foundation

Nassari aingia mkataba na Obama Foundation

Aliyekuwa mbunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ndugu Joshua Nassari hatimaye amepewa mkataba wa miaka miwili wa kufanya kazi kwenye taasisi ya Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama (Obama Foundation). Moja ya masharti ya mkataba ni kutojihusisha na siasa za vyama.

Joshua Nassari anatarajia kuweka makazi yake jijini Chicago, Illinois.
Karibu sana hapa Illinois nipo naperville mkuu
 
Hata ccm kuna waziri alifukuzwa kipindi fulani. Akala kazi UN.
Kuna maisha nje ya siasa. Kila mtu ana malengo ya kimaisha.
Ubunge ni nafasi ya muda tu.. na kwa hali ilivyo sasa ni ngumu kushinda ubunge tena maana serikal ina force sana watu wa ccm washinde.
Katika ku keep up na check and balance za kimaisha lazima ajihakikishie hata akiukosa familia yake itakulaje..
Hii kesi ni kama tu ya wafanyakazi waliofukuzwa ama kuacha kazi sababu wamepata palipo na pesa nzuri.
Dogo kawachezea chadema smart... alijuwa sharti ni masiasa majitaka.... Aka MUTE kimtindo ili afukuzwe kuliko kuitwa msaliti..
Kawapiga tobwa chadema mnamlalamikia Ndungai... Possibly hata Ndungai aliambiwa nifukuze spika nitambae
Mjini shule... mambo ya vidole na pipoz bila pesa nani anataka
 
Ikitokea nikapata bahati ya kukutana na viongozi wa juu wa chama nina ujumbe mujarabu wa kuwapa ambao utasaidia pakubwa lakini ni muda wa ku trace historical background za watu tunaotaka kuwapa nafasi kuongoza au kuchaguliwa ktk nafasi za kiserikali, kati ya " waliounga juhudi",hakuna hata mmoja mwenye historia nzuri ndani ya chama kama ilivyo kwa John Mnyika au Heche, mfano Katambi alitoka ccm tukamwamini kizembe, ni wakati wa makao makuu kuunda timu ya uchunguzi kwaajili ya kufanya vetting kwa watu tunaotaka kuwapa ridhaa kuwakilisha chama, nje na hapo tunazidi kuwakatisha tamaa wapenda mabadiliko
You have a point. Deep vetting inahitajika.
 
Sifa kubwa ukiwa serikalini lazima uwe na roho mbaya kuwatengenezea watu wengine kesi na kuwazamisha kwenye kina kirefu ili wasiibuke tena! Kazi hii hufanywa pia na wachawi na watu wanaitwa oosadist! Yaani wakati wengine wanaumia na kutokwa machozi sadist anacheka na kushangilia! Mungu mkubwa amfariji huyu dogo japokuwa hatujui mengi juu ya sakata lake la kuvuliwa ubunge! Kuna watu walikuwa behind kumuumiza nassari lkn Mungu amemkumbuka! Kila la kheri
Too contradictory. Hujui mengi na hivyo yaone yanapita.
 
Aliyekuwa mbunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ndugu Joshua Nassari hatimaye amepewa mkataba wa miaka miwili wa kufanya kazi kwenye taasisi ya Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama (Obama Foundation). Moja ya masharti ya mkataba ni kutojihusisha na siasa za vyama.
Joshua Nassari anatarajia kuweka makazi yake jijini Chicago, Illinois.
Fursa nzur sana. Wakat sisi tunazitafuta kwa hali na mali yy kapata kiulaini 2
 
Kumpira chura teke ni sawa na kumuongezea mwendo

Kwa akili yako fupi unaona kuwa kupoteza ubunge wa miaka mitano, wenye benefits kibao.. Kisha kupata temporary employment ya miaka miwili ni jambo la maana sana!!
 
Hakupigwa teke bali alijua anachokifanya, halutaka aondoke na kuacha maswali hivyo alitafuta mtu wa kumsukuma na maswali aulizwe huyo mtu!

Pompoma ni pompoma tu.
Wewe ni pompoma. Kwa akili yako fupi unaona logic kabisa mtu kupoteza Kazi ya ubunge wa miaka mitano yenye benefits kibao kisha kupewa temporary job ya miaka miwili!!!
Kwako wewe mla vumbi unaona sawa, kisa tu anaenda kuishi Illinois!!!
 
Employer doesnt care. Otherwise asingeitwa. I dont mean kwamba mashirika yote yako hivyo hapana.
Ila huyu alijijengea base ya kupata hiyo kazi kwa muda mrefu sana.. hao jamaa wamemsomesha masters yake. U can see malengo yake before. Hiki kinachotokea ni result tu ya alichokitengeza to nyuma.
Mkuu trust me, they do care! Yaani ile ya utoro kajiharibia sana. Hawa jamaa wako very serious kwenye hii kitu ya reference

Trust me, I kniw what am saying here.
 
Aliyekuwa mbunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ndugu Joshua Nassari hatimaye amepewa mkataba wa miaka miwili wa kufanya kazi kwenye taasisi ya Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama (Obama Foundation). Moja ya masharti ya mkataba ni kutojihusisha na siasa za vyama.

Joshua Nassari anatarajia kuweka makazi yake jijini Chicago, Illinois.
Let him go his own way, kijana Pumbavu sana huyo
 
Mkuu trust me, they do care! Yaani ile ya utoro kajiharibia sana. Hawa jamaa wako very serious kwenye hii kitu ya reference

Trust me, I kniw what am saying here.
Let see though naamin hata hiyo nafasi asingepewa
 
Aliyekuwa mbunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ndugu Joshua Nassari hatimaye amepewa mkataba wa miaka miwili wa kufanya kazi kwenye taasisi ya Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama (Obama Foundation). Moja ya masharti ya mkataba ni kutojihusisha na siasa za vyama.

Joshua Nassari anatarajia kuweka makazi yake jijini Chicago, Illinois.
Dadeki
Salamu zake Job
 
Kazi yenyewe ya muda mfupi ( two years contract), hata sioni cha maana hapo
Kwa Ubunge walibakiza muda gani? Kwa mtu anayejua "saving" miaka miwili ni kipato kikubwa sana kuweza kurudi na kuanzisha vijibiashara vyako hapa nyumbani
 
Back
Top Bottom