Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,854
Nmecheka sana et two ambulancrHivi nani aliandika hii habari?
A country with two ambulance!!!! How
Nmecheka sana et two ambulancrHivi nani aliandika hii habari?
A country with two ambulance!!!! How
Hata kama unaukataa lakini wewe ni mjinga.huko Obama foundation ufipa kampani limited ndo hospital aliyolazwa mwenzake alipokuwa anaamuuguzia!!! akili ndogo za bush shida sana!! mtu akizaliwa bush hata aende Mbinguni kijiji hakimtoki kichwani!! maisha yana formulas zake, haiingii akilini leo ufukuzwe ubunge (kazi) kesho tu ushadaka kazi ingine! mtu ukitimuliwa kazi kusota kwanza ndio hufuata kabla hujapata job ingine!! sisi si wajinga!!!
Nmecheka sana et two ambulancr
acha ujnga. huo ni ujira wa kuuza jimbo.Kumpira chura teke ni sawa na kumuongezea mwendo
Mitanzania ina roho mbaya sanahuko Obama foundation ufipa kampani limited ndo hospital aliyolazwa mwenzake alipokuwa anaamuuguzia!!! akili ndogo za bush shida sana!! mtu akizaliwa bush hata aende Mbinguni kijiji hakimtoki kichwani!! maisha yana formulas zake, haiingii akilini leo ufukuzwe ubunge (kazi) kesho tu ushadaka kazi ingine! mtu ukitimuliwa kazi kusota kwanza ndio hufuata kabla hujapata job ingine!! sisi si wajinga!!!
It was a job, wasn'it?Obama foundation haitaki reference za siasa!
Mkuu kama CV yako ipo vizuri unadaka kazi ingine tu mara moja habari hii anayo Malecela wa WHO mkuukama CV mbovu utahangaika sanahuko Obama foundation ufipa Machame kampani limited ndo hospital aliyolazwa mwenzake alipokuwa anaamuuguzia!!! akili ndogo za bush shida sana!! mtu akizaliwa bush hata aende Mbinguni kijiji hakimtoki kichwani!! maisha yana formulas zake, haiingii akilini leo ufukuzwe ubunge (kazi) kesho tu ushadaka kazi ingine! mtu ukitimuliwa kazi kusota kwanza ndio hufuata kabla hujapata job ingine!! sisi si wajinga!!!
Dah kweli ujinga mzigo,siku chache zilizopita mlimlaumu huku mkisema ndio namna mpya ya "kuunga mkono juhudi".Kumbe kawatelekeza wananchi,sasa hivi unasema "hakuwa na ugomvi na wapiga kura".Ajizi nyumba ya njaa..huyu atarudi 2025 na kugombea tena.
..na upo uwezekano akashinda kwasababu alipoondolewa hakuwa na ugomvi na wapiga kura wake.
Ni wivu tu narudia, ni wivu tu.
Nakazia
Acha wivu usio kusaidia kitu boya wewe.
Not true hicho unachoongea sio formula ya Maisha!huko Obama foundation ufipa Machame kampani limited ndo hospital aliyolazwa mwenzake alipokuwa anaamuuguzia!!! akili ndogo za bush shida sana!! mtu akizaliwa bush hata aende Mbinguni kijiji hakimtoki kichwani!! maisha yana formulas zake, haiingii akilini leo ufukuzwe ubunge (kazi) kesho tu ushadaka kazi ingine! mtu ukitimuliwa kazi kusota kwanza ndio hufuata kabla hujapata job ingine!! sisi si wajinga!!!
Nafikiri alikusudia jimbo lake lilikuwa na "ambulance" mbili,ndo nayeye akaongezea.Hivi nani aliandika hii habari?
A country with two ambulance!!!! How
Marry am speaking from the experiencengoja upoteze kazi uone! waulize wenzako!
Changa la macho wamepigwa sisiemu na ndugai kukimbilia kumfukuza ubunge wakidhani wamemkomoa kumbe ndo wanamsogeza zaidi.Aliamua kuacha ubunge ili apate hiyo kazi?? Amewapika changa la macho UKAWA...na Chadema.
Natamani kuiona sura yako. Aisee una roho mbaya sana.huko Obama foundation ufipa Machame kampani limited ndo hospital aliyolazwa mwenzake alipokuwa anaamuuguzia!!! akili ndogo za bush shida sana!! mtu akizaliwa bush hata aende Mbinguni kijiji hakimtoki kichwani!! maisha yana formulas zake, haiingii akilini leo ufukuzwe ubunge (kazi) kesho tu ushadaka kazi ingine! mtu ukitimuliwa kazi kusota kwanza ndio hufuata kabla hujapata job ingine!! sisi si wajinga!!!
Dah kweli ujinga mzigo,siku chache zilizopita mlimlaumu huku mkisema ndio namna mpya ya "kuunga mkono juhudi".Kumbe kawatelekeza wananchi,sasa hivi unasema "hakuwa na ugomvi na wapiga kura".Ajizi nyumba ya njaa