Alexido jz instagram
JF-Expert Member
- May 5, 2026
- 1,988
- 4,724
But seran safari yangu ya Zanzibar ipo ni wewe tu ila ukiona noma twende visiwa vya mafia huko hamna macho mengiHahaa
But seran safari yangu ya Zanzibar ipo ni wewe tu ila ukiona noma twende visiwa vya mafia huko hamna macho mengiHahaa
Kweli Sina pesa ila yalikua maongezi ya ucheshi tu, sikua na mana mbaya nimeeleweka vibaya tuHana pesa ya kunipa huyo so relax..
Sawa kajiandaeBut seran safari yangu ya Zanzibar ipo ni wewe tu ila ukiona noma twende visiwa vya mafia huko hamna macho mengi
SawaKweli Sina pesa ila yalikua maongezi ya ucheshi tu, sikua na mana mbaya nimeeleweka vibaya tu
Bro shida Nini? Huyo ni ke kutongozwa ni lazima, inshu ya mi kujisogeza sijakuelewa bro, halafu shingapi Sina mana namnunua la hasha ni utani tu, ndo mana nikamwambia ani bless Kwa huruma, heshima yangu kwake ni kubwa usitake kunichonganisha bro, labda kama unataka vita na Mimi,Nimeona kuna jamaa anajisogeza karibu hapo juu mara sh ngapi
Huyo jamaa kanikera sana, sijui kafikiria Nini eti najisogeza,seran we ni mwanamke Kuna ubaya gani mi kukutongoza? sasa kama hujanielewa si una kataa, ila ye anataka kunichonganisha kiainaSawa kajiandae
😆😆Huyo jamaa kanikera sana, sijui kafikiria Nini eti najisogeza,seran we ni mwanamke Kuna ubaya gani mi kukutongoza? sasa kama hujanielewa si una kataa, ila ye anataka kunichonganisha kiaina
Umeeleka vema kakaBro shida Nini? Huyo ni ke kutongozwa ni lazima, inshu ya mi kujisogeza sijakuelewa bro, halafu shingapi Sina mana namnunua la hasha ni utani tu, ndo mana nikamwambia ani bless Kwa huruma, heshima yangu kwake ni kubwa usitake kunichonganisha bro, labda kama unataka vita na Mimi,
Mzigo umheshimu abilia
Mnanichekesha jamani loh!Mzigo umheshimu abilia
Huezi ukapingana na teknolojia hata madaktari siku izi wanatumia technojia ya mitambo kutibu bila kushika popote .Kwa hali hii si ndo tutazalisha madokta wa gugoo zaidi
Mkuu umenikumbusha juzi kati nilienda Bugando kitengo cha oncology cha ajabu hawa madaktari genZ wakawa wanagoogle ni antibiotic gani inafaa kwa staphyllococus aurelia mwisho wakapata chlorophenicolHuezi ukapingana na teknolojia hata madaktari siku izi wanatumia technojia ya mitambo kutibu bila kushika popote .
So kijana anapaswa atafte maarifa iwezekanavyo ili aje awe mtaalamu mzuri
Siipendi hiyo dawa chloramphenicol!🤢Mkuu umenikumbusha juzi kati nilienda Bugando kitengo cha oncology cha ajabu hawa madaktari genZ wakawa wanagoogle ni antibiotic gani inafaa kwa staphyllococus aurelia mwisho wakapata chlorophenicol
Ivi kumbee unanipenda hadi umeamua kunifichia Spell r na m thanksSiipendi hiyo dawa chloramphenicol!🤢
makubwa!Ivi kumbee unanipenda hadi umeamua kunifichia Spell r na m thanks
Uwe na usiku mwema kipenzi changu jitunzemakubwa!
Dah!makubwa!
Kama umesoma PCB somo jepesi hapo ni chemistry.... Biology ina content kubwa sana....pia miaka ya hivi karibuni Biology mitihani Yake imerahisishwa.Biology unaiitaa MBABE asee kila mtu na mnyonge wake Hilo SoMo kwangu easy sana ila physics mhh
🤣🤣🤣Dah!
Jamaa kakuanzisha mada ya chemistry kama chemistry, yaani anapima kama element zinaweza kuunganika na kutengeneza covalent bonds