Kuna vibopa tutakuta tunakulea taratibu huku unamsubiri ila KUICHAPA uhakika kwanzampaka aje apate hiyo pesa ngozi yangu itakuwa na ganzi haisikii product yoyote isharudi utotoni! 🤣
Private una Manisha private candidate au shule private schoolMi mwenyewe nilijitiaga kiherehere kwenda kusoma CBG tena private miezi minne mingi nikageuza komwe kurudi arts 🤣
ShulePrivate una Manisha private candidate au shule private school
Pesa mkononi mguu beganiKuna vibopa tutakuta tunakulea taratibu huku unamsubiri ila KUICHAPA uhakika kwanza
Biology unaiitaa MBABE asee kila mtu na mnyonge wake Hilo SoMo kwangu easy sana ila physics mhhNimesoma PCB chemistry ndiyo somo sikuwa na wasiwasi kabisa. Yaani ilikuwa kama napumzika kusoma chemistry ..Kwanza ina content ndogo ukilinganisha na hao wababe wawili ( physics& Biology)
Mabasi ya njano sioShule
Seran hivi nikikupa kama shingapi hivi nakukula, samahan sio Kwa ubaya au unaeza ni hurumia tu ukan blessPesa mkononi mguu begani
Anza na general chemistry, isome yote vizuri itakupa mwanga wa kuaendea mengine. Soma salt base and acid au anza na pyhsical chemistry kabla ya salt. Soma inorganic chemistry hasa topic ya soil. Baadae maliza na organic chemistry usome hizo benzene reaction. Jipe muda unaposoma, usiluke mada, kuna wakat utaona inorganic nikama general chemistry vinaingiliana, hivyo hakikisha unasoma topic moja moja bila kuhangaika nazingine. Kuna presha ya wasoma tution, mtu anakusumbua na topic za mbelen anakutoa kwenye focus au mtu abakufunza kitu kigumu kabla ya chepesi. Anza na general, acid salt and base kisha inorganic na maliza na hizo mbili za mwisho physical na organic maana huwa ngumu kidogo kwa wagen wa kemia hasa physical kama hesabu hauko vzri.Wakubwa shikamoni aisee ndo kwanza naanza ila madude ni magumu hayagusiki
1.General Chemistry
2.Physical Chemistry
3.Organic Chemistry
4.Inorganic Chemistry
5.Acid,base and salt
Nimejaribu kugusa Aufubau principle naona hata siwezi kuandika electronic configuration, pia Hydrogen spectrum ya Bohr's model(Balmers series,Laymers series,Paschen series, p-fund)
Ukija kwenye quantum orbitals haya maua na xyz coordinates yananichanganya. Nikaona niguse tena organic kwenye principle of showing reactions za benzene napo hapagusiki. Nikajaribu tena Physical kwenye Azeotropic mixture hata siyaelewi. Wadau nyie mlisomaje?
Golden pointsAnza na general chemistry, isome yote vizuri itakupa mwanga wa kuaendea mengine. Soma salt base and acid au anza na pyhsical chemistry kabla ya salt. Soma inorganic chemistry hasa topic ya soil. Baadae maliza na organic chemistry usome hizo benzene reaction. Jipe muda unaposoma, usiluke mada, kuna wakat utaona inorganic nikama general chemistry vinaingiliana, hivyo hakikisha unasoma topic moja moja bila kuhangaika nazingine. Kuna presha ya wasoma tution, mtu anakusumbua na topic za mbelen anakutoa kwenye focus au mtu abakufunza kitu kigumu kabla ya chepesi. Anza na general, acid salt and base kisha inorganic na maliza na hizo mbili za mwisho physical na organic maana huwa ngumu kidogo kwa wagen wa kemia hasa physical kama hesabu hauko vzri.
Duh hii kasheshe! Kumbe huwa najiuza na hamniambiiSeran hivi nikikupa kama shingapi hivi nakukula, samahan sio Kwa ubaya au unaeza ni hurumia tu ukan bless
Hapana umenielewa vibaya seran samahan san, simanishi hivo nilimanisha unibless Kwa hurumaDuh hii kasheshe! Kumbe huwa najiuza na hamniambii
Seran usiwe mrahisi kihivyo bhnDuh hii kasheshe! Kumbe huwa najiuza na hamniambii
HahaaHapana umenielewa vibaya seran samahan san, simanishi hivo nilimanisha unibless Kwa huruma
Mrahisi kwenye nini?Seran usiwe mrahisi kihivyo bhn
Nimeona kuna jamaa anajisogeza karibu hapo juu mara sh ngapiMrahisi kwenye nini?
Usiwe mrahisi kwenye kila kituMrahisi kwenye nini?
Hana pesa ya kunipa huyo so relax..Nimeona kuna jamaa anajisogeza karibu hapo juu mara sh ngapi
Wewe unaniona mrahisi?Usiwe mrahisi kwenye kila kitu
HapanaWewe unaniona mrahisi?