Kajamaa kalikula tigo niniSijaumia kwa kipindi kirefu kuhusu mwanaume fulani tulikutana mahali fulani .
Baba Yako ni mzungu?Nakama mkisema semeni tu.
Na hii ndio mwisho wa jf kiukweli siwezi share jukwaa na wanaume weusi nahisi kutapika
MTOto na pesa pia....Daaah, kumbe na wewe umeumizwa na mapenzi kama mimi, basi nicheki inbox, si unataka mtoto tu, tutafarijiana
Kuna kitu huyu dada anatuficha na hii ni kawaida kwa binadamu anapotoa malalamiko kwa mtu mwingine ni ngumu Sana kusema madhaifu yake, kwa maandiko mengi niliyosoma ya huyu dada inaonekana yupo desperate Sana na ana ufeminist I am sure huyo jamaa hakuwa mjinga kuna kitu kakiona kwa huyu we jaribu kupitia nyuzi za huyu dada utakubaliana na mimiPole mwaya, be calm yupo atakayekuja kuona thamani yako. But why akuone malaya? Ulishawahi kumuonesha ishara zozote hadi akuone hivo?( ulimuomba pesa?)
Mkuu nakupa kongole Kwa Hilo uliloongea,ni kweli kabisa tunakutana na rejection lkn bado tuna move on mwisho wa siku Maisha yanaendelea na tunapata wenza fresh Tu.Ulivyojisikia leo tu, sisi hujisikia hivyo hivyo au zaidi ya hivyo karibia kila siku.
Tungesema hatutaki wanawake wa Kiafrica, sijui ingekuwaje.
Piga moyo konde. Hasira zikiisha mpokee mwingine. Huwezi jua neema yako imeangukia kwa nani.
Pole sana.
😅 Desperate- neno baya sanaKuna kitu huyu dada anatuficha na hii ni kawaida kwa binadamu anapotoa malalamiko kwa mtu mwingine ni ngumu Sana kusema madhaifu yake, kwa maandiko mengi niliyosoma ya huyu dada inaonekana yupo desperate Sana na ana ufeminist I am sure huyo jamaa hakuwa mjinga kuna kitu kakiona kwa huyu we jaribu kupitia nyuzi za huyu dada utakubaliana na mimi
Mkuu unataka nisemeje au unaona nimemuonea?😅 Desperate- neno baya sana