Nasikitika sana

Nasikitika sana

Pole sana,tatizo umetuhukumu wanaume wote hapo unakosea sana
 
Naona amekukula kakuacha, hebu nipe namba yako bibie nina maongezi ya siri na wewe
 
Halafu siku hizi kumbe unajua kiswahili?
Screenshot_20220801-185118.jpg
 
Ujue tupo tunasubiria hizo Screenshot za pm,na usipoziweka hapa basi haupo serious
 
Pole mwaya, be calm yupo atakayekuja kuona thamani yako. But why akuone malaya? Ulishawahi kumuonesha ishara zozote hadi akuone hivo?( ulimuomba pesa?)
Alijirahisi Sana...alafu anaonekana ni wale wanaopenda ghafla from nowhere. Unampenda mtu ambaye hamjawahi kuonana?

Too sad.
 
Alijirahisi Sana...alafu anaonekana ni wale wanaopenda ghafla from nowhere. Unampenda mtu ambaye hamjawahi kuonana?

Too sad.
Mapenzi yana nguvu sana mkuu, unaweza penda mwandiko tu wa mtu na ukafall in love kweli kwelii. So inawezekana kupenda hata bila kumuona mtu ila muhimu tahadhari
 
tukiwasomesha alaf mkatukimbia mnatuona mabwenyenye piga madanga haoooooo
 
Oya wazee demu mpaka umlize hivi unatakiwa uwe na direction ya maisha na michongo ila hivi hivi pangu pakavu huwezi andikiwa thread kama hii utaisikia tu kwa hewa.
 
Mwanamke ana miaka michache sana ya ku "shine" ambapo hapo wale wajanja ndio hua wanapata waume wa kuwaoa. Wale ambao sio wajanja hudhani kwamba wataendelea ku shine forever so wanatanguliza nyodo, majivuno na starehe. By the time anakuja kushtuka kashagonga 30 na wale vijana wote aliowaletea nyodo wameshaoa wana familia zao ndio kuanza kukimbilia makanisani.
Mkuu nakusalimia 😀👋
 
Back
Top Bottom