Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Nina uhakika na mlengwa (kwa maana hiyo ningependa atibitishe hadharani) japo watu wote mnaopenda fruit salads hamkatazwi kuchangia. Karibuni"
kwanini unapenda tungo tata?
Nina uhakika na mlengwa (kwa maana hiyo ningependa atibitishe hadharani) japo watu wote mnaopenda fruit salads hamkatazwi kuchangia. Karibuni"
Hili ni jibu tosha japo Bishanga hataki kukiri!
Bishanga ni babu jinga.
Fafanua fruit salad ya wapi.
Eti baba Koku unapenda naniliu au hii kitu iliyosemwa hapa?
mzee wa mapene!! kuja pande hizi ujibu hii makitu huku!
i missed u, lol!
nimesikia kuwa huyu jamaa naye ni mod kwa id nyingine, wadau embu nithibitishieni hili.
Fafanua fruit salad ya wapi.
mrs asprin,mi hata la kujibu sina,kama unalo jibu nijibie pliz.
hivi fruit salad anamaanisha tunda la katikati ya shamba? is that so?
nikiri nini sasa,kwamba siku hizi mtoboa siri anamfukuzia Cantalisia au?
Kongosho, njoo hapa uone maajabu. Hatimaye Bishanga akosa la kujibu!!!!
Nafikiri ingekua vyema sana kama Mtoboasiri na Bishanga mkatujuza mnaongelea nini hapa
ndo mana nilikunyang'anya mke sio?
ukisikia umbea,majungu,fitna,uzandiki,ushankunkumpempe ndo huu sasa at its highest!
kwanini unapenda tungo tata?