Rungu
JF-Expert Member
- Feb 23, 2007
- 3,933
- 1,725
Kipindi cha Idhaa ya Kiswahili ya BBC, Dira ya Dunia, kitarusha hewani mahojiano na mshairi-na msanii mkongwe wa muziki wa dansi, Nasibu aka Ras Nas, Ijumaa hii (29 Februari) kati ya saa moja na moja na nusu jioni, au 19:00 19:30 East African Time (EAT).
Mahojiano hayo, yalochanganyika na masala ya vibao vipya toka kwenye nyu albam ya Dar-es-Salaam, yatafanyika baina ya Ras Nas na mtangazaji mahiri wa Idhaa hiyo, Idd Seif.
Baadaye kipindi hicho kinaweza kupatikana kwenye podikasti mtandaoni
Kongoi Productions
Mahojiano hayo, yalochanganyika na masala ya vibao vipya toka kwenye nyu albam ya Dar-es-Salaam, yatafanyika baina ya Ras Nas na mtangazaji mahiri wa Idhaa hiyo, Idd Seif.
Baadaye kipindi hicho kinaweza kupatikana kwenye podikasti mtandaoni
Kongoi Productions
