Rungu
JF-Expert Member
- Feb 23, 2007
- 3,932
- 1,726
Mwanamuziki mkongwe wa miondoko ya muziki wa dansi na reggae, Ras Nas aka Nasibu, yuko tayari kufanya vitu vyake katika jiji la Trondheim, Norway, usiku wa Ijumaa tarehe 12 Desemba. Ukumbi unaitwa Dokkhuset.
Kwa wabongo mliopo huko msikose kuhudhuria onyesho hilo la mwaka ambapo Ras Nas ametayarisha kikosi kikali chenye wanamuziki toka Congo Brazzaville, Ivory Coast na Sweden.
Kwa tahadhari, asiye na mwana itabidi aelekee jiwe! Shoo itaanza saa nne na nusu usiku. Kabla ya hapo maDJ Roar Lund na Kristin Skjervold watakuwepo uwanjani kufyeka msitu.
Kwa maelezo zaidi www.rasnas.kongoi.com (kiinglish)
Ras Nas aka Nasibu Mwanukuzi
WWW.KONGOI.COM
Kwa wabongo mliopo huko msikose kuhudhuria onyesho hilo la mwaka ambapo Ras Nas ametayarisha kikosi kikali chenye wanamuziki toka Congo Brazzaville, Ivory Coast na Sweden.
Kwa tahadhari, asiye na mwana itabidi aelekee jiwe! Shoo itaanza saa nne na nusu usiku. Kabla ya hapo maDJ Roar Lund na Kristin Skjervold watakuwepo uwanjani kufyeka msitu.
Kwa maelezo zaidi www.rasnas.kongoi.com (kiinglish)

Ras Nas aka Nasibu Mwanukuzi
WWW.KONGOI.COM