Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,587
- 1,136
Binafsi napenda kutoa shukrani kwa serikali mpya kwa kutujali sisi wanafunzi tunaonufaika na mikopo niko chuo flani apa Leo tumesaini pesa za kujikimu za awamu ya pili. Kama Kuna wahusika umu pokeeni pongezi hizi. Asante