Amie whitney
Member
- May 21, 2023
- 78
- 183
Hello babies,
Si mnakumbuka kuna siku nilikuja hapa like waaaoh, nikaleta story za kutafuta mume? You know babies basi bwana kwenye DM yangu ikamwagika weee meseji kibao zaidi ya mia mbili hivi you know.
Basi akijtokeza mbaba mmoja hivi jina nalihifadhi, akanitumia meseji moja moja aisee niliripuka kwa shaangwe waao baby, akanichombeza kweli kweli nikasema mimi ni nani mpaka nikatae?
Jamaa ni bosi hapo kwenu ukimani kwenye kampuni hivi I don't if as karubandika I don't care what I see ni mapenzi yangu kwake tu.
Tumepanga ndoa tutafunga huku London na sio huko ukimani kwenu, kwanza huko kwenu kunatoa harufu, kwa mfano hapo kwenu Dar es Salaam kunatoa harufu balaa.
Karibu kwenye ndoa.
Si mnakumbuka kuna siku nilikuja hapa like waaaoh, nikaleta story za kutafuta mume? You know babies basi bwana kwenye DM yangu ikamwagika weee meseji kibao zaidi ya mia mbili hivi you know.
Basi akijtokeza mbaba mmoja hivi jina nalihifadhi, akanitumia meseji moja moja aisee niliripuka kwa shaangwe waao baby, akanichombeza kweli kweli nikasema mimi ni nani mpaka nikatae?
Jamaa ni bosi hapo kwenu ukimani kwenye kampuni hivi I don't if as karubandika I don't care what I see ni mapenzi yangu kwake tu.
Tumepanga ndoa tutafunga huku London na sio huko ukimani kwenu, kwanza huko kwenu kunatoa harufu, kwa mfano hapo kwenu Dar es Salaam kunatoa harufu balaa.
Karibu kwenye ndoa.