MUHEZAKAYA
Member
- Nov 14, 2014
- 15
- 9
Awali ya yote napenda kumshukuru M/MUNGU kwa kunijaalia kuwa miongoni mwa waliochaguliwa,bila kuwasahau wanajamvi kwa kuweka posts zakunitia moyo kabla na baada ya usaili,nawaombea kwa mungu muwe na moyo huohuo daima wala msichoke,lakn naomba kulza tena Hiv kama umepitia JKT bado utakwenda depo lao tena au unakwenda kozi yao ya uhamiaji bila kuptia depo? naomba kujibiwa wadau.