Nashukuru mama Samia amenisikia.

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,204
10,951
Nchi ina wizara na idara nyingi sana.Pamoja na umuhimu wa kila moja lakini kuna idara tatu ni muhimu zaidi katika kuitawala nchi.Hizo hizo ndizo zinazotumiwa na wapinzania wanapotaka kumletea matatizo mtawala aliyepo madarakani.
Idara hizo ni maji,nishati hasa umeme na chakula ikiwemo sukari.
Wakati wa Magufuli kuna watu walitaka kumuangusha kwa kutumia sukari japo alisurvive alipata shida sana.Kwenye umeme alitumia maguvu sana na huenda alifanikiwa kwa kiasi fulani.
Wapinzani wa vyama vya upinzani au ndani ya chama huwa hawakomi kutumia vitu hivyo vitatu kama kisingizio cha kutaka kumuondosha madarakani kiongozi fulani.Kwa upole alionao mama kuna wapinzani wengine kama ndugu wameendelea kutaka kumchagiza mama.
Kuna siku nilimshauri mama Samia hapa hapa JF kuwa awe mwangalifu na asisite kufukuza kila mpuuzi anayekwamisha maendeleo ya nchi na kutumia jina lake kama kisingizio.Nafurahi kuwa huwa anaingia hapa na nashukuru amenisikia kwa kufukuza meneja wa Tanesco kwanza kabla hajafuta wengine kama yeye.
 
Nchi ina wizara na idara nyingi sana.Pamoja na umuhimu wa kila moja lakini kuna idara tatu ni muhimu zaidi katika kuitawala nchi.Hizo hizo ndizo zinazotumiwa na wapinzania wanapotaka kumletea matatizo mtawala aliyepo madarakani.
Idara hizo ni maji,nishati hasa umeme na chakula ikiwemo sukari.
Wakati wa Magufuli kuna watu walitaka kumuangusha kwa kutumia sukani japo alisurvive alipata shida sana.Kwenye umeme alitumia maguvu sana na huenda alifanikiwa kwa kiasi fulani.
Wapinzani wa vyama vya upinzani au ndani ya chama huwa hawakomi kutumia vitu hivyo vitatu kama kisingizio cha kutaka kumuondosha madarakani kiongozi fulani.Kwa upole alionao mama kuna wapinzani wengine kama ndugu wameendelea kutaka kumchagiza mama.
Kuna siku nilimshauri hapa hapa JF kuwa awe mwngalifu na asisite kufukuza kila mpuuzi anayekwamisha maendeleo ya nchi na kutumia jina lake kama kisingizio.Nafurahi kuwa huwa anaingia hapa na nashukuru amenisikia kwa kufukuza meneja wa Tanesco kwanza.
sawa
 
Amekusikia kwa mwandiko huu??

Mama anapambana sana kusoma huu mwandiko aiseh
 
Nchi ina wizara na idara nyingi sana.Pamoja na umuhimu wa kila moja lakini kuna idara tatu ni muhimu zaidi katika kuitawala nchi.Hizo hizo ndizo zinazotumiwa na wapinzania wanapotaka kumletea matatizo mtawala aliyepo madarakani.
Idara hizo ni maji,nishati hasa umeme na chakula ikiwemo sukari.
Wakati wa Magufuli kuna watu walitaka kumuangusha kwa kutumia sukari japo alisurvive alipata shida sana.Kwenye umeme alitumia maguvu sana na huenda alifanikiwa kwa kiasi fulani.
Wapinzani wa vyama vya upinzani au ndani ya chama huwa hawakomi kutumia vitu hivyo vitatu kama kisingizio cha kutaka kumuondosha madarakani kiongozi fulani.Kwa upole alionao mama kuna wapinzani wengine kama ndugu wameendelea kutaka kumchagiza mama.
Kuna siku nilimshauri mama Samia hapa hapa JF kuwa awe mwangalifu na asisite kufukuza kila mpuuzi anayekwamisha maendeleo ya nchi na kutumia jina lake kama kisingizio.Nafurahi kuwa huwa anaingia hapa na nashukuru amenisikia kwa kufukuza meneja wa Tanesco kwanza kabla hajafuta wengine kama yeye.
Meneja yupi unayemsema kafukuzwa? Kama Bwana Chande ni MD na katoka Tanesco kwenda Ttcl .maana halisi ni kuwa kahamishwa full stop.wote wataendelea kugonga glass ya wine vikaoni mwao.
 
Suala la kukaa gizani katika Karne hii ya 21 halikubaliki , nchi nyingi duniani suala Hilo hakuna! Kama uzalishaji wa umeme wa ndani ni mdogo kwanini hatununui umeme kutoka nje? Kama waziri wa Nishati hatoshi si kumfukuza tu shida Nini? Hivi akili tunazo kweli au vichwa vyetu ni vya kuwekea headphones tu kusikiliza music wa My baby wa Diamond Platnumz!

kukatika umeme husimamisha shughuli za kiuchumi na kuleta njaa na Serikali inayowaletea njaa raia wake ambao haiwalishi na Bado inawakamua matozo na Kodi lukuki basi ni ya kidhalimu na haifai! Serikali hiyo ni ya kidikteta tu na kiongozi wake hatoshi!

Mnazunguuuka huku kule badala ya kusema ukweli tu viishe! Maisha yenyewe mafupi tu!
 
Back
Top Bottom