Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Hivi wewe ole unadhani pale mnapotakana na kukubaliana mapenzi yapo 100%. Mapenzi yanajengeka ndani ya mahusiano. Ni pale unapoweza kumconvince ataanza kujenga interest, na kukupenda eventually! Baada ya hapo sasa ita determine kama ulikua muongo au mkweli (ndani ya mahusiano.)
Mi ukweli toka moyoni sijawahi penda hata siku moja ila natamani na ninaishia kutamani