Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Tatizo lenu wanaume ni hivi, mnataka mpewe majibu hapo kwa hapo.. We need time kuwajua vizuri. (hakuna specific duration) hivyo unaweza kataliwa mwanzo taratibu baada ya muda mkiwa mna spend time together, na kuongea mara kwa mara, tukaona WHY NOT GIVING IT A TRY. Sasa unapo back out upesi inaonesha huna nia kaizer!
Tatizo huwa mnasema sitaki kumbe unataka si unamjibu pale pale kuwa naomba muda nijifikirie kuliko kusema sitaki kesho unaanza kumfukuzia wewe tena ooh jamani baby mbona hivyo