Nashindwa mwelewa Shemeji yangu

Nashindwa mwelewa Shemeji yangu

mwambie dadake/mkeo kwamba hupendi tabia za mdogo wakee
 
Kwa anayoyafanya ni dhahiri kuwa anaonesha kunipenda. Uzungu zungu mwingi sana sometimes nikirudi ananikumbatia kwa furaha...anavaa tu nguo flani hivi nyepesi nyepesi... Yaani ni Full Ulaya Ulaya...

Sasa najiuliza huyu mtoto yupo serious kweli au ametumwa anitege? Hapo pananipa shida sana ....najikuta njia panda. Sielewi kama nipo katika majaribu au ndo hivyo ....
Nauli ya kurudi kwenu unayo?
 
Kwa anayoyafanya ni dhahiri kuwa anaonesha kunipenda. Uzungu zungu mwingi sana sometimes nikirudi ananikumbatia kwa furaha...anavaa tu nguo flani hivi nyepesi nyepesi... Yaani ni Full Ulaya Ulaya...

Sasa najiuliza huyu mtoto yupo serious kweli au ametumwa anitege? Hapo pananipa shida sana ....najikuta njia panda. Sielewi kama nipo katika majaribu au ndo hivyo ....
Nitumie namba zake nimkanye..
 
Ushafika Njia Panda sio!?

Angalia geti la kwanza, la pili, la Tatu umefika.
 
achana nae shetani wa kike huyo
kama unahamu tafuta demu wa mbali mkeo hata akigundua atakusamehe kuliko ndugu yake hatakusamehe kamwe
 
Kwa anayoyafanya ni dhahiri kuwa anaonesha kunipenda. Uzungu zungu mwingi sana sometimes nikirudi ananikumbatia kwa furaha...anavaa tu nguo flani hivi nyepesi nyepesi... Yaani ni Full Ulaya Ulaya...

Sasa najiuliza huyu mtoto yupo serious kweli au ametumwa anitege? Hapo pananipa shida sana ....najikuta njia panda. Sielewi kama nipo katika majaribu au ndo hivyo ....
Simply unaishi kwa brother au sio
 
Back
Top Bottom