Nashindwa mwelewa Shemeji yangu

Nashindwa mwelewa Shemeji yangu

Kwa anayoyafanya ni dhahiri kuwa anaonesha kunipenda. Uzungu zungu mwingi sana sometimes nikirudi ananikumbatia kwa furaha...anavaa tu nguo flani hivi nyepesi nyepesi... Yaani ni Full Ulaya Ulaya...

Sasa najiuliza huyu mtoto yupo serious kweli au ametumwa anitege? Hapo pananipa shida sana ....najikuta njia panda. Sielewi kama nipo katika majaribu au ndo hivyo ....
Wee unamchelewesha...mgegede bwana mbona vijana mnatuangusha
 
Una vichwa viwili lakini kimoja hakina utosi na hakiwezi kushaurika....
 
Unataka kubadili upendo wa kweli kuwa ngono? Yaani mtu anaonyesha kukujali ila wewe umeshaanza kuwaza ngono!
 
Shemeji yako kivipi? Mke wa kakaako au mdogo wa mkeo? Fafanua ili nijue nikushauri vp
 
La! La! La! La!

Maneno ya msaga sumu yanakuja yanakataa hivi kuwa hahinaga ushemeji.


Kumbuka Mke wa mtu sumu boss.
 
Mbona unanitegaa shemejii - Msaga Sumu

Akili yako ndio tatizo shemaji hana shida yoyote hapo
 
Haujaeleweka shemeji yako kivipi?!

Mnakutana wapi hadi akuvalie hivyo?!

Wewe na yeye mna mazoea gani?!
 
Back
Top Bottom