steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,092
- 1,433
Katika vigezo vya mtu anayehitaji kupata hati ya kusafiria. Kuna baadhi ya vigezo sivielewi.
Kuna kigezo kinasema natakiwa kuwa na Kitambulisho cha Uraia lakini wanadai tena cheti cha kuzaliwa, hapo wamenichanyanya.
Pia wametuambia passport ni haki ya kila Mwananchi lakini wameweka kigezo kama vile naomba visa.
Kuna kipengele kinasema uthibitisho wa safari na nini naenda kufanya, hapo ndipo wamenichanganya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kigezo kinasema natakiwa kuwa na Kitambulisho cha Uraia lakini wanadai tena cheti cha kuzaliwa, hapo wamenichanyanya.
Pia wametuambia passport ni haki ya kila Mwananchi lakini wameweka kigezo kama vile naomba visa.
Kuna kipengele kinasema uthibitisho wa safari na nini naenda kufanya, hapo ndipo wamenichanganya.
Sent using Jamii Forums mobile app