Habari wana JF,
Mimi ni member wa JF (home of great thinker) kwa muda kidogo, japo kuwa sijawahi kupost article yeyote.
Leo nimekuja jamvini kwa mana JF ili kuomba ushauri amabo nahisi utanisaidia ktk kupata suluhu hiki kitiu kinacho nitatiza.
Kisa chenyewe,
Mimi ni Baba, nina mke na watoto 3, kama ilivyo kwa african family (extended) ninaishi na ndugu vilevile.
Kati ya ndugu ninao ishi nao, ni mtoto wa dada yangu, ambae baada ya kumaliza std 7 nilimtoa kijijini na kumleta mjini, na nikaendelea kumsomesha sec school naakamaliza F4 mwaka juzi 2009.
Kwa sababu alikuwa na utashi na anapenda kusomea hotels mgt, nilimtafutia shule earlier this year nakaanza kusoma kozi ya miezi 18.
Kinachonitatiza amesha soma miezi 6 tu tayari ana uja uzito.Nikajaribu kumbana na kumuuliza anayehusika na hali hio ili awajibike, lakini huyu hataki kumtaja. Nikaona hebu nijaribu kumtisha, nimemfukuza nyumbani ili labda amtaje anayejusika, lakini huyu binti hataki kumtaja na tayari ameshaondoka nyumabani sijui anakoishi kwa sasa. Wazazi wake bado sijawajulisha.
Sasa naomba ushauri kwenu wana JF nifanyaje ili ni nusuru maisha yake??
Mimi ni member wa JF (home of great thinker) kwa muda kidogo, japo kuwa sijawahi kupost article yeyote.
Leo nimekuja jamvini kwa mana JF ili kuomba ushauri amabo nahisi utanisaidia ktk kupata suluhu hiki kitiu kinacho nitatiza.
Kisa chenyewe,
Mimi ni Baba, nina mke na watoto 3, kama ilivyo kwa african family (extended) ninaishi na ndugu vilevile.
Kati ya ndugu ninao ishi nao, ni mtoto wa dada yangu, ambae baada ya kumaliza std 7 nilimtoa kijijini na kumleta mjini, na nikaendelea kumsomesha sec school naakamaliza F4 mwaka juzi 2009.
Kwa sababu alikuwa na utashi na anapenda kusomea hotels mgt, nilimtafutia shule earlier this year nakaanza kusoma kozi ya miezi 18.
Kinachonitatiza amesha soma miezi 6 tu tayari ana uja uzito.Nikajaribu kumbana na kumuuliza anayehusika na hali hio ili awajibike, lakini huyu hataki kumtaja. Nikaona hebu nijaribu kumtisha, nimemfukuza nyumbani ili labda amtaje anayejusika, lakini huyu binti hataki kumtaja na tayari ameshaondoka nyumabani sijui anakoishi kwa sasa. Wazazi wake bado sijawajulisha.
Sasa naomba ushauri kwenu wana JF nifanyaje ili ni nusuru maisha yake??