- Thread starter
- #21
Du hizi issue zipo kila kona .................hapo ndugu yangu wasiliana na wazazi kwanza
pili nenda chuoni kwa principal upate marafiki zake wakusaidie maana wanajua alipo.
Usijekuta ni mwalimu maana na walimu wa siku hizi sio wa enzi zetu..........all in all
huyu ameshakuwa binti mkubwa sasa huna cha kumfanya ni kumsaidia tu kwa kuhakikisha
anamaliza shule............itabidi mama yake/dada yako akalee mjukuu ili aweze kumaliza
shule. Sometimes hii ndio inakuwaga wake up call kwa mabinti........... take it easy
Ahsante Mkubwa!
Shida iliopo iwapo niliposoma joining instruction za chuo hicho wakati wa admission ni chuo ambacho sheria zake ni kama za sec schools kwa hio watamfukuza tu, sasa hivi yupo field anafanya kwenye moja ya hotel, ambapo sio wote waliofanikiwa kupata sehemu ya kufanya hio field, ni yeye na wachache tu ndio walio bahatika