Nashindwa kupata huduma ya Tigopesa, shida nini?

MIGNON

JF-Expert Member
Nov 23, 2009
4,083
5,066
Tigo tusaidieni maelezo,*150*01# inagoma

inasema
"Ndugu mteja, namba hii haipo. Kupata huduma za Tigo Pesa, piga *150*01#"

wakati umepiha namba hiyo hiyo.

Wanazingua

TiGo pesa.JPG
 
Kila nikijaribu kuaccess Tigopesa naletewa huo ujumbe, mambo yanakwama na hela ndio zipo humo, shida nini? Naambatanisha picha.

DE595536-D468-4F13-A76A-193C39169E65.jpeg
 
Nina shida ya kutoa pesa na kufanya malipo, ila nikijaribu naletewa huo ujumbe kama unavyoonekana kwenye picha.

E8FC84AF-8933-4A45-BE28-6EEFFC0CDAB4.jpeg

Btw, kwanini mmefuta uzi wangu wa mwanzo juu ya tatizo hili bila sababu?
 
Sasa unaleta huku tukasaidie nini na huduma kwa wateja tigo wapo?
Kwani hoja zinazoletwa huku ni za nini, kwanini watu wasiwe wanapiga simu mamlaka husika na kuachana na mitandao? Mfano unapiga tu simu polisi, au TCRA then mchezo umeisha, kwanini mnaletaga hoja huku?
 
Kwani hoja zinazoletwa huku ni za nini, kwanini watu wasiwe wanapiga simu mamlaka husika na kuachana na mitandao? Mfano unapiga tu simu polisi, au TCRA then mchezo umeisha, kwanini mnaletaga hoja huku?

Unajichelewesha bure namba 100 ipo bure, ofisi zipo. Kama unadhani huku ndio watakusadia sawa.
 
Unajichelewesha bure namba 100 ipo bure, ofisi zipo. Kama unadhani huku ndio watakusadia sawa.
Kupiga namba100 hakuna msaada wowote.

Hii issue ni nchi nzima huduma ya tigo haipatikani.

Kuweka Uzi hapa ni kutoa alert kwa wengine wanaotazamia kufanya miamala ya Tigo pesa na wahusika nao wapo humu wanaona.

Sasa wewe unateseka na nini mkuu?

Seat back and relax
 
Unajichelewesha bure namba 100 ipo bure, ofisi zipo. Kama unadhani huku ndio watakusadia sawa.
Unadhani lengo la uzi ni kusaidiwa? Lengo ni kujadili kwa ujumla ili pawe na msukumo walau wa kulipwa fidia ya damages caused kwa umoja wetu, umoja ni nguvu, mkipiga simu mmoja mmoja mnakosa nguvu, hili si tatizo la mteja mmoja, wote linatukumba
 
Wameishiwa fedha!
Hilo haliwezekani, credit and debit flow ya account zao ipo constantly monitored na BOT, hilo haliwezi tokea, maana si wao wanakaa na fedha, ni benki ndio inakaa nazo.., na si benki moja, ndio maana unaweza kutuma pesa toka Voda kwenda tigo, and vice versa, au Tigo kwenda benki
 
Back
Top Bottom