Nashindwa kumwelewa kwakweli

Nashindwa kumwelewa kwakweli

Sio lawama kwa Wanawake hata nawe naamini una kasoro zako mwenzio ana kuvumilia japo huwa zinazidiana.
Nikwambie tu ukweli,mimi namthamini sana na sina mwingine zaidi yake.
 
Sasa hivi nataka nivae roho ya ukatili,unajua wanawake nimeshawasoma ukiwa mkarimu sana kwao wanakuona fala ila ukiwa mkali wanakuheshimu,yaani hawa viumbe sijui wako vp!!
Ndiyomaana nikakwambia uvulana ndiyo unaokutesa sasa hivi so hadi 2029 ndipo utafikia uanaume, la sivyo utapata tabu sana.
 
Asa usichoelewa ni nini dogo wakati ushasema hana interest wala hakupendi?,na inakuaje msichana mwenye tabia mbovu zote hizo umekutana nae ndani ya miezi saba unataka kumuoa?umerogwa?...Anyways,fanya hivi...Mwambie wewe na yeye bas na mkazie kamba kweli,kwasababu yeye ni mwepesi kuomba msamaha,kulia na kutuma watu,mwekee sharti kwamba lazima umgegede kwanza ndo umsamehe(komalia hapo hapo!,hauna chakupoteza),akikubali mgegede then mteme rasmi sasa(Nusu hasara sio mbaya).
 
Habari wana JF,poleni na harakati za kulijenga taifa.
Naombeni ushauri wenu kwa haya yanayonikuta sasa. Mimi nipo kwenye uhusiano na msichana ambaye kiukweli nampenda sana na nipo tayari kumuoa mda wowote, sina mwingine zaidi yake ila mambo anayonifanyia nashindwa kumuelewa. Mwanzoni tulikuwa tunapendana sana alikuwa hana tatizo ila amekuja kubadilika ghafla na mimi huwa nampa mahitaji yake yote anayohitaji hata ndugu zake huwa nawasaidia,na nimeshamtambulisha kwetu anajulikana na kwetu wanampenda sana ila visa vyake ni hivi;
U must be really old fashioned.

Natamani nikushangae kabisa for pursuing this openly ridiculous endeavor of taming the untamable (a.k.a Ufugaji wa Kunguru) but such is Love and I can understand.

Jitahidi kwa kadri ya uwezo wako na nguvu za reasoning ulizobakisha, kukaa mbali naye na kumblock kila mahali. Atakupeleka pabaya sana bro...
 
Nikwambie tu ukweli,mimi namthamini sana na sina mwingine zaidi yake.
Kifupi usilazimishe bibie akupende kama ni kweli hivi ulivyo andika ni matukio ya kweli basi hapo unalazimisha kupendwa sehemu ambayo hupendwi.
 
Kusoma hujui hata picha linavoenda huoni.. . jiongeze
 
Dogo si kila mtu anafaa kuwa mke, wengine wamewekwa wa kutumia tu, sasa huyo unamuona kabsa hataki ndoa sasa wa nini kukaa unajichosha, wanawake wapo wengi tena wenye heshima na ustaarabu.

Kikubwa jali mambo yako kwanza, mke mwema anatoka kwa Mungu na si instagram. Utakuja jutia mda wako kwa kupenda visivyopendeka. Niulize mimi yalinitokea puani
 
Kuna wanawake wanajua kuchezea shilingi chooni jamani


Matukio yote hayo,bado huelewi somo
 
Naweza kusema wewe ni malaika...... Yote hayo umevumilia??? Heheheheheh pole
 
Hii ID mnatumia watu wawili tofauti?

Huyo mwenzako ana akili kuliko wewe.
Nilitaka kumshauri kumbe kila kitu anakijua,
 
Nilitaka kumshauri kumbe kila kitu anakijua,
Ndio ni mimi mkuu,ila tatizo nimependa hadi nashindwa kujielewa,sijui nini kimenitokea na mimi huwa sipo hivi,nahisi kuna kitu amenifanyia,niombeeni tu.
 
Hii ID mnatumia watu wawili tofauti?

Huyo mwenzako ana akili kuliko wewe.
Yamkini anatudhihirishia kuwa mganga hajigangi!
 
Back
Top Bottom