Nashindwa kumwelewa kwakweli

Nashindwa kumwelewa kwakweli

Nilishaamua kumuacha kama mara tatu ila huwa anakuwa mnyonge analia kweli na kuomba msamaha,yaani huwa sijui ni nini huruma tu inakuja namsamehe. Ni king'ang'anizi hasa,anajierebisha kwa mda kidogo hlf anarudia tena upuuzi wake
Mchikiii huwaa akiwa anaachwaaa huwa haambiwiii spidiii inapungua kwa kujitoaa taratibu, hutumi text wal upigi cal sanaaa yeye ndo atakuwa anakupigia smtym unapotezeaa kadhirii ya siku zinavyosogea hupoke simu wala hajibu text kimya kimya hapo unamwacha kimya kimya hamjagombana hata mkigumiana njiani mnapeana salamu ye na maisha yake ww na maisha yakooo, elekeza nguvu kwenye kazi'
 
Mleta mada naona hujielewi,yani mwanamke unaempenda amechokwa na mama yake ambaye alimvumilia tumboni kwa miezi 9 Je wewe utaweza kumvumilia?

Pia inaonekana mleta mada ni domo zege na ndo Mana anaogopa kuanzisha uhusiano mpya
 
5. Nilikuwa nimeshafanya mpango kabisa wa kumvisha pete ya uchumba ila huwezi amini alikataa


Kimbiaa tafuta mwingne
 
Back
Top Bottom