Nashindwa kumwelewa kwakweli

Nashindwa kumwelewa kwakweli

Alijifundisha halafu hajajielewa.....
Ndio ni mimi mkuu,ila tatizo nimependa hadi nashindwa kujielewa,sijui nini kimenitokea na mimi huwa sipo hivi,nahisi kuna kitu amenifanyia,niombeeni tu.
 
Ndio ni mimi,tatizo nimependa. Yaani hadi nashindwa kujielewa na huwa sipo hivi.
Mada yako ulivyo andika tayari unajua tatizo kwa hiyo maamuzi ni yako.Tahadhari usije kumfanyia kitu mbaya huyo bibie maana unapigwa matukio ila hutaki kuachika endelea na moyo wa chuma.
 
visanga na vimbwanga jf
Ndio ni mimi mkuu,ila tatizo nimependa hadi nashindwa kujielewa,sijui nini kimenitokea na mimi huwa sipo hivi,nahisi kuna kitu amenifanyia,niombeeni tu.
 
Mada yako ulivyo andika tayari unajua tatizo kwa hiyo maamuzi ni yako.Tahadhari usije kumfanyia kitu mbaya huyo bibie maana unapigwa matukio ila hutaki kuachika endelea na moyo wa chuma.
Nilishaamua kumuacha kama mara tatu ila huwa anakuwa mnyonge analia kweli na kuomba msamaha,yaani huwa sijui ni nini huruma tu inakuja namsamehe. Ni king'ang'anizi hasa,anajierebisha kwa mda kidogo hlf anarudia tena upuuzi wake
 
Shida ipo hapo kwa namba point namba 9a. ..


Siku utakayoacha kumpa kila kitu ndo siku atayokubali kuolewa, kukupa uchi na kukuheshimu.

Simple exercise kata huduma zote mwezi mmoja tu we wasiliane nae tu lakini usimpe lolote..

Asipokupa uchi au kukubali kuolewa Basi Mimi najikana nafsi..
 
Hii ID mnatumia watu wawili tofauti?

Huyo mwenzako ana akili kuliko wewe.
Ndio ni mimi mkuu,ila tatizo nimependa hadi nashindwa kujielewa,sijui nini kimenitokea na mimi huwa sipo hivi,nahisi kuna kitu amenifanyia,niombeeni tu.
 
Nilishaamua kumuacha kama mara tatu ila huwa anakuwa mnyonge analia kweli na kuomba msamaha,yaani huwa sijui ni nini huruma tu inakuja namsamehe. Ni king'ang'anizi hasa,anajierebisha kwa mda kidogo hlf anarudia tena upuuzi wake
Kwa nini alikataa kuvichwa Pete na wewe tuanzie hapo kwanza.
 
Uvulana bhana daaah...! hadi 2029 utakuwa ushafikia kiwango cha uanaume.
Ngoja nikwambie tu,unajua hamna mtu aliyekamilika,kila mtu ana mapungufu yake....sasa utabadilisha wangapi? Cha muhimu ni kujaribu kumbadilisha mtu ukiona umejaribu kumbadilisha kwa bidii zote lkn habadiliki basi ndio anastahili kuachwa.
 
Sasa wewe mwambie hivi Pete unaenda kumvisha mrembo mwingine yeye atakapo kuwa tayari akwambie, jeuri dawa yake kusudi
Sasa hivi nataka nivae roho ya ukatili,unajua wanawake nimeshawasoma ukiwa mkarimu sana kwao wanakuona fala ila ukiwa mkali wanakuheshimu,yaani hawa viumbe sijui wako vp!!
 
Shida ipo hapo kwa namba point namba 9a. ..


Siku utakayoacha kumpa kila kitu ndo siku atayokubali kuolewa, kukupa uchi na kukuheshimu.

Simple exercise kata huduma zote mwezi mmoja tu we wasiliane nae tu lakini usimpe lolote..

Asipokupa uchi au kukubali kuolewa Basi Mimi najikana nafsi..
Asante kwa ushauri,point nzuri hiyo.
 
Sasa hivi nataka nivae roho ya ukatili,unajua wanawake nimeshawasoma ukiwa mkarimu sana kwao wanakuona fala ila ukiwa mkali wanakuheshimu,yaani hawa viumbe sijui wako vp!!
Sio lawama kwa Wanawake hata nawe naamini una kasoro zako mwenzio ana kuvumilia japo huwa zinazidiana.
 
Bro nikuambie kweli huna mtu apo nakumbia kiume muache bila ye kujua utakuja nishukuru baadae, uyo ameshaingia kwenye makundi mabaya na ameshaharibikiwa hapo anachojikomba kwako ni pesa zako bruh, hafai hata kwa kurumangia najua ilivyo ngumu kumuacha umpendae ila ni rahisi mno trust me,

Be a man acha usenge nakwambia leo achana nae achana na kufikiriahujamtomba n.k hesabu hasara move on wanawake wapo wengi wengi mno, beautful, humble n.k usiwe muoga kutongoza
 
Wewe ndo tatizo!

Miezi mi4 unamhudumia yeye na nduguze ila mzigo hadi ndoa na ndoa ukigusia hataki halafu upo tu!!

Labda iwe chai,kama ni kweli then una matatizo ghorofani!

Ndo mwanamke wako wa kwanza nini.
 
Mwanaume kamili hutakiwi kutaka ushauri Mambo yakishafikia hapo?? unadhani nani atakushauri umoe hapa?? mtu ameshakataa pete ya uchumba, kufanya mapenzi pia hatai, anakutumia tu!!!

kwa ushauri wangu M bake tu alafu uachane naye
 
Back
Top Bottom