mjoli wa kweli
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 630
- 388
Nadhani bado kidgo utakuwa mtumwa wake, ushauri wangu kwako ni kumpadishia vioo tu. Tambua thamani yako brother.
usiniambie untaka kuninyima kitu kupitia hiyo salamu yako .Shkamooo
Muoneusiniambie untaka kuninyima kitu kupitia hiyo salamu yako .



Alijifundisha halafu hajajielewa.....Hii ID mnatumia watu wawili tofauti?
Huyo mwenzako ana akili kuliko wewe.
![]()
Jua kusoma alama za nyakati katika mahusiano, usisubiri hadi uumizwe kabisa
Kuna watu huwa nawashangaa sana, yaani unakuta mtu anaona kabisa dalili za kwamba mwenzake sio muaminifu halafu anaendelea nae tu, na wengine unakuta ndio anamuonya mwenzake lakini anaona kabisa hajabadilika lakina bado eti unakuta anendelea nae hadi mwisho wa siku anapomfumania kabisa na kupata...www.jamiiforums.com
Mimi sina swaga za kishamba aisee,hunifahamu so don't try to judge the outer appearance of me while you don't know me,just give ur advice and go away.Umekaa unatuadithia ujinga kweli sisi malendary hapana kwani wewe una umri gani na huyo mwanamke anaumri gani??kwanza ngoja nikupe za uso.....Moja wewe unajifanya kumtimizia,pili yeye alikuchukulia kama mna have fun wakati yeye hakuwa na kitu akaona unamtimizia mahitaji yake akaona azuge na wewe lakini siyo umtawale pesa yako ya losheni,tatu anamtu wake dissent anamuonekano na nuru machoni japo hana pesa ila anaweza kwenda kifua mbele kwa marafiki zake sasa wewe umekaa kishamba anaona mbwiga,nne wewe unataka kuoa yeye bado anakula ujana na hataki kuolewa na watu kama nyie wakizamani hivyo wewe piga chini tafuta mwanamke mnaye randana hawa wa dot kom utaishia kulia
Asante sana,watu kama hao hujuta sana baadae.Usijaribu kamwe kumuoa asiyekupenda kwa sababu tu wewe unampenda, UTAJUTA. hata kama atakuja leo kukuambia amekubali kwa dalili ambazo amekuonyesha huyo hafai kuwa mkeo. Kubali kuwa hilo siyo chaguo lako na endelea na maisha mengine ipo siku utakutana na chaguo lako.
I give what i see between the line priod, and no need to know each other.....i know thorough your article and your problemsMimi sina swaga za kishamba aisee,hunifahamu so don't try to judge the outer appearance of me while you don't know me,just give ur advice and go away.
NashukuruUsijaribu kamwe kumuoa asiyekupenda kwa sababu tu wewe unampenda, UTAJUTA. hata kama atakuja leo kukuambia amekubali kwa dalili ambazo amekuonyesha huyo hafai kuwa mkeo. Kubali kuwa hilo siyo chaguo lako na endelea na maisha mengine ipo siku utakutana na chaguo lako.
Hii I'd ni yeye tatizo mwongo, mbaya zaidi kumbukumbu hana huu uzi ni chai.Hii ID mnatumia watu wawili tofauti?
Huyo mwenzako ana akili kuliko wewe.
![]()
Jua kusoma alama za nyakati katika mahusiano, usisubiri hadi uumizwe kabisa
Kuna watu huwa nawashangaa sana, yaani unakuta mtu anaona kabisa dalili za kwamba mwenzake sio muaminifu halafu anaendelea nae tu, na wengine unakuta ndio anamuonya mwenzake lakini anaona kabisa hajabadilika lakina bado eti unakuta anendelea nae hadi mwisho wa siku anapomfumania kabisa na kupata...www.jamiiforums.com