Dah jamaa ana katrick kazuri ka kumfanya mtu amkimbie mwenyewe baada ya kuwa amemaliza mahitaji yake.
Habarini za asubuhi wapenzi wangu humu ndani naomba msaada wa mawazo niko njia panda mwenzenu nlikutana na huyu kaka muda kidogo tukawa marafiki mpaka wapenzi akanambia kuwa yeye wasichana huwa wanamuacha ila mimi nkimwangalia hana sababu ya kuachwa basi ikafika siku tukapanga mimi nkaenda kulala kwake mh mwanaume anamaneno ya ajabu kiukweli nkamwambia kama ni kweli huwa unaongea maneno haya kwa wanawake hawawezi kukuvumilia jaman sio wakati wa sex no inakuwa mshamaliza mnapiga tu story anaanza kuongea mambo ya ajabu.
Mara ajifanye anajilaumu wewe kwenda kulala kwake mara anajifanya anampenzi anampenda sana mara eti usije nizoea ukajibebesha mimba ili mradi akukele tu basi kiukweli nikashindwa nikamwambia maneno haya yote uko serious akasema ndio nikamwambia hata mie sirudi tena.
Kweli since that day hatujawasiliana tena na kama mwezi hivi ila mie nashindwa kabisa kumtoa kichwani namuwaza muda wote kozi nilienjoy sana sex nae na pia yeye pia alinambia najua umechukia but usiku wetu ulikuwa poa sana naomba ushauri nirudi ili nimzoee au niachane nae please ushauri nauitaji zaidi.
ndo hvyo sasa nafanyaje kwa hili ye mjanja sina neenoDah jamaa ana katrick kazuri ka kumfanya mtu amkimbie mwenyewe baada ya kuwa amemaliza mahitaji yake.
Mimi sikuwa na wazo lakumganda yeye anioe au eti nijibebeshe momba mtu mwenyewe kama maisha ndo anayaanza so sikuwa na wazo lakumganda kiivyo alivyodhani yeye na pia alinikuta kwny wakt ambapo nimeachana na mpenzi wangu wa mda mrefu kama five years kwa tofauti za kidini so nilikuwa na wazo la tupeane raha Mungu akipenda may be but mwanaume anamdomo mchafu ka shimo la choo ana vigubu vya chini chini na pia mpaka kwenda kulala kwake ilikuwa just kufurahishana tu sio kama yeye alivyochukulia ndo hvyo.Depends wewe unataka nini ? Sio kila relationship lazima mwisho wake muwe pamoja.., kama na wewe shida yako ni starehe za muda mfupi basi unaweza ukaendelea na no strings attached.., mkimaliza sio lazima ubakie kusikiliza maneno yake unaweza ukaondoka
ndo hvyo sasa nafanyaje kwa hili ye mjanja sina neeno
Asante kwa uliyosema yote mema mama na ntafanyia kazi ushauri wako asante sanaMy dia think twice bora uumie kwa sasa kuliko akucheezeee, akupotezee mda, pengine upate mimba, afu at end akuache
Mwanamke wa ukweli unatakiwa ujitambue na ufanye maamuzi mazito hata kama moyo unavuja kwa maumivu unavumilia kwa maana huyu sio type yako tulia upate wa type yako.
Habarini za asubuhi wapenzi wangu humu ndani naomba msaada wa mawazo niko njia panda mwenzenu nlikutana na huyu kaka muda kidogo tukawa marafiki mpaka wapenzi akanambia kuwa yeye wasichana huwa wanamuacha ila mimi nkimwangalia hana sababu ya kuachwa basi ikafika siku tukapanga mimi nkaenda kulala kwake mh mwanaume anamaneno ya ajabu kiukweli nkamwambia kama ni kweli huwa unaongea maneno haya kwa wanawake hawawezi kukuvumilia jaman sio wakati wa sex no inakuwa mshamaliza mnapiga tu story anaanza kuongea mambo ya ajabu.
Mara ajifanye anajilaumu wewe kwenda kulala kwake mara anajifanya anampenzi anampenda sana mara eti usije nizoea ukajibebesha mimba ili mradi akukele tu basi kiukweli nikashindwa nikamwambia maneno haya yote uko serious akasema ndio nikamwambia hata mie sirudi tena.
Kweli since that day hatujawasiliana tena na kama mwezi hivi ila mie nashindwa kabisa kumtoa kichwani namuwaza muda wote kozi nilienjoy sana sex nae na pia yeye pia alinambia najua umechukia but usiku wetu ulikuwa poa sana naomba ushauri nirudi ili nimzoee au niachane nae please ushauri nauitaji zaidi.