habarin za asubuh wapenzi wangu humu ndani naomba msaada wa mawazo niko njia panda mwenzenu nlikutana na huyu kaka muda kidogo tukawa marafiki mpaka wapenzi akanambia kuwa yeye wasichana huwa wanamuacha ila mm nkimwangalia hana ssababu ya kuachwa basi ikafika siku tukapanga mimi nkaenda kulala kwake mh mwanaume anamaneno ya ajabu kiukweli nkamwambia kama ni kweli huwa unaongea maneno haya kwa wanawake hawawezi kukuvumilia jaman sio wakati wa sex no inakuwa mshamaliza mnapiga tu story anaanza kuongea mambo ya ajabu.
mara ajifanye anajilaumu wewe kwenda kulala kwake mara anajifanya anampenzi anampenda sana mara eti usije nizoea ukajibebesha mimba ili mradi akukele tu basi m kiukweli nkashindwa nkamwambia maneno haya yote uko seriouz akasema ndio nkamwambia hata mie sirudi tena.
kweli since zat day hatujawasiliana tena n kama mwezi hivi ila mie nashindwa kabisa kumtoa kichwan namuwaza mda wote kozi nilienjoy sana sex nae na pia yeye pia alinambia najua umechukia but usiku wetu ulikuwa poa sana naomba ushauri nirudi ili nimzoee au niachane nae plz ushauri nauitaji zaidi