Nashindwa kumuondoa kichwani

Nashindwa kumuondoa kichwani

Pm yangu umeiona?

Ngoja nijitolee kukufuta machozi

mtoto mzuri unahangaika na magangster ambao hawaeleweki.

Wewe unahitaji mahaba wala sio mapenzi
 
Mmmmhhhhhh!!!!!! Wewe mbona unamtia aibu mwalimu wako? Ziko wapi alama za kiuandishi? Umenifanya niishiwe pumzi maana hamna nukta wala mkato.......... Elimu yako bado utata mtupu.:thumbdown:
Haahahaha yaah uko sahih lakin nimeelewwka pia m sikuwa na wazo la hzo alama za maandishi ndugu yangu pia usiwaze kuhusu elimu yangu nina elimu yakutosha tuu kwa Tanzania nami nimo kati ya waliomo,namshukuru sir God kwa hilo, zen sikuwa nimeongelea kihusu elimu ilo si muhimu sana hapa so naomba usinihukumu Elimu yangu
 
Pm yangu umeiona?

Ngoja nijitolee kukufuta machozi

mtoto mzuri unahangaika na magangster ambao hawaeleweki.

Wewe unahitaji mahaba wala sio mapenzi
Nimeiona nimekupm namba plz ntafute kwa hyo namba
 
ni bingwa wa majarida huyo kashaperuzi tena anatafuta lengine {play boy}
 
Sharpshooter.....jamaa ni mtaalam wa akili za wanawake...anachojaribu ni kuku frustrate....anajifanya kua ni simba asiefugika....tafuta mtu mwengine akuchezee mwisho wa siku utakua ni Public property....Samahani hili ndo neno zuri nililolipata....
 
Sharpshooter.....jamaa ni mtaalam wa akili za wanawake...anachojaribu ni kuku frustrate....anajifanya kua ni simba asiefugika....tafuta mtu mwengine akuchezee mwisho wa siku utakua ni Public property....Samahani hili ndo neno zuri nililolipata....
Usijali na asante kwa ushauri wako
 
Heaven lakini inasikitisha sana. Kuna wanaume ni abusive sana lakini wanawake walio nao hawabanduki hata atukanwe vipi. Mimi nadhani ni zaidi ya kuridhishwa kimapenzi, kuna suala la kisaikolojia zaidi. Kama ulivyosema labda ile hope kuwa jamaa atabadilika ndio huwafanya wadada wabaki na mabandidu kama hao.

haya mambo acha tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom