Yeye yupo Bukoba. Mimi nipo Dar, kwa sababu ambazo zipo nje ya uwezo wetu kwahiyo ni muda mrefu hatujaonana toka August. Na nlishawahi kumuuliza kwa nini kuna muda lazima awe hivyo alichonijibu ni kuwa nimvumilie tu, ananipenda na mm ndo mwanamke wake wa maisha. Ananipa wakati mgumu, na huwa anasema maneno hayo kila nkimuomba explanation
Pole mamy kuna muda inatakiwa ukubali ukweli,akufukuzae hakwambii toka.Inawezekana anajua unampenda na kukwambia ukweli kuwa hakuhitaji anaogopa kukuumiza.Labda. Kuna kipindi alinambia anataka kubadilisha number. Nikamuuliza kwa nini akanijibu 'basi tu'. So labda sababu ni hiyo, alitaka tu kunikwepa
Hapana mpendwa. Wewe je? Unayo?
Asante kwa ushauri mpenda. Wa PM wataishia PM tu.Nakukumbusha tu,kuwa makini na mafisi wanao kumendea huko pm..wataitumia hyo kama advantage.. wanafanya yao halafu watatokomea..utakuja kulia tena hapa
Bukoba ni kwao, but anafanya kazi huko. Hapana hatukuwa tukiishi pamoja. Dar ni kwetu and pia nafanya kazi. Alipoondoka tuliagana kama kawaida. Hatujawahi kuishi pamoja cause hatujaoana, wote ni dini moja ndiyoMi ukinijibu maswali yangu ndio nitakupa ushauri
1. Alikwenda Bukoba kufanya nini?
2. Mlikuwa mnaishi pamoja?
3. Wewe upo Dar unafanya nini?
4. Ana umri gani?
5. Alipoondoka wakati anakwenda.
Bukoba alikwambia nini? Au kama
wewe ndio uliondoka Bukoba kuja
Dar ulimwambia nini?
6. Je wazazi wenu wanajua kuwa
mlikuwa mnaishi pamoja?
7. Je wewe na yeye ni wadini moja?
8. Kwanini msingeoana kuliko kuwa
pamoja kwa muda wote huo?
9. Vp hali yake ya kiuchumi?
10. Mliweka malengo gani ya baadae
kwenye mahusiano yenu?
Umeshawahi kwenda kumtembelea huko ukajua kuna kikwazo gani kinachomfanya kuwa kimya?Bukoba ni kwao, but anafanya kazi huko. Hapana hatukuwa tukiishi pamoja. Dar ni kwetu and pia nafanya kazi. Alipoondoka tuliagana kama kawaida. Hatujawahi kuishi pamoja cause hatujaoana, wote ni dini moja ndiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya hivyo ukipata muda, usimlaumu usiejua mazingira aliyopo yakoje, kajionee mwenyewe ndipo utakapopata jibu. Na ndio utajua kama anakudharau, kakuchoka au kataitiwa hadi kushindwa kuwasiliana na wewe hali yoyote ile iliyopo.Hapana sijawahi
Poa