masengobangu
Senior Member
- Feb 25, 2014
- 125
- 131
Habari wana bodi mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31,sijaoa nina tatizo ambalo linahitaji ushauri wa kina kama miezi sita iliyopita nilitokea kumpata mdada ambaye nahitaji kufunga nae pingu za maisha .
Ajabu mara ya kwanza tu tunaanza kufahamiana kimwili gegedo langu lilishindwa kufanya kazi ile naingiza tu pump tatu ikalala nikajaribu njia zote wapi nikaenda kununua redbul wapi ikabidi nishindwe tukaondoka.
Nikaenda kuomba ushauri kwa marafiki zangu wakasema itakua ni msongo wa mawazo basi nikajaribu kujicontrol tukaenda tena wapiiiii nikapanic ila yote yanayonitokea yeye ananipa moyo tu.
Nikaenda kuomba tena ushauri nikaambiwa fanya mazoezi,kunywa maji mengi,kula tangawizi,mbegu za maboga,parachichi,asali n.k,nikafata hayo maelekezo lakini holaaaa.
Nikarudi tena kwa marafiki kuomba ushauri wakaniambia jaribu kutafuta mdada mwingine tofauti na huyo, nikafanya ivyo mambo huko yakawa fresh tu sikukata tamaa nikaendelea na mazoezi lakini mafanikio hamna nikapata ushauri mwingine wa kutumia vumbi la congo ,nikafata ushauri mambo yakawa supa nikawa napiga bao nne na zaidi.
Siku zikaenda mara ile hali ikajirudia tena hata nikitumia mkongo dyudyu linasimama nikigusa K tu inanywea nikaanza kuchanganyikiwa na nisijue la kufanya nampenda sana na yeye ananipenda naombeni ushauri waungwana.
Ajabu mara ya kwanza tu tunaanza kufahamiana kimwili gegedo langu lilishindwa kufanya kazi ile naingiza tu pump tatu ikalala nikajaribu njia zote wapi nikaenda kununua redbul wapi ikabidi nishindwe tukaondoka.
Nikaenda kuomba ushauri kwa marafiki zangu wakasema itakua ni msongo wa mawazo basi nikajaribu kujicontrol tukaenda tena wapiiiii nikapanic ila yote yanayonitokea yeye ananipa moyo tu.
Nikaenda kuomba tena ushauri nikaambiwa fanya mazoezi,kunywa maji mengi,kula tangawizi,mbegu za maboga,parachichi,asali n.k,nikafata hayo maelekezo lakini holaaaa.
Nikarudi tena kwa marafiki kuomba ushauri wakaniambia jaribu kutafuta mdada mwingine tofauti na huyo, nikafanya ivyo mambo huko yakawa fresh tu sikukata tamaa nikaendelea na mazoezi lakini mafanikio hamna nikapata ushauri mwingine wa kutumia vumbi la congo ,nikafata ushauri mambo yakawa supa nikawa napiga bao nne na zaidi.
Siku zikaenda mara ile hali ikajirudia tena hata nikitumia mkongo dyudyu linasimama nikigusa K tu inanywea nikaanza kuchanganyikiwa na nisijue la kufanya nampenda sana na yeye ananipenda naombeni ushauri waungwana.