au anaweza kujikuta anamtaja Ncklas, Nasri, Eboue. Lakini afadhali kutaja haya majina kuliko mwamvuli kukunjuka daily ni aibu manake anaweza kumkimbiza huyu binti akijua jamaa ana ukame wa toka First World WarKwa magoli na mpira ule... nadhani jamaa atakuwa ametatua tatizo lake, labda sasa Domo liwe Zege!!