Nilimwona akitoka guest bila ya kumuona aliyekuwa naye nikashangaa na kumtishia kwenda kumtonya jamaa akanisihi nisijaribu maana balaa kwa rafiki zangu lingekuwa kubwa kupindukia, ndo akanipa mzigo mzima hadi kwenye maandisha, nikashika mdomo
Yaani wamejaa kwani kidogo??!. Mwingine nae join period ni July 2015, naye kakomaa pia kuwa hakuna kitu kama hicho:eyeroll1:nimeamini humu kuna watoto wa shule ya msingi. jkt ilikuwepo toka baada ya uhuru ikasitishwa mwishoni mwa miaka ya 90.
Kinachoniuma ni shemeji kuzidisha dharau kwa mume wake na majibu yasio na heshima kwake. Mke anaaga kuwa anaenda kulala kwenye msiba wa mtu wa kabila lao ambaye kafa kweli lakini ikifika saa 8 usiku anakwenda kufanya uzinzi ya yule rafiki yetu huku mumewe akiamini kuwa amelala msibani.
ningekuwa mimi ningevunja urafiki na huyo anayeibiwa mke ili niwe na amani,siwezi nikajiita rafiki yako halafu mkeo analiwa halafu nisifanye chochote kukusaidia,siwezi kuona rafiki yangu anafanyiwa kitu mbaya nisifanye jambo kumsaidia,thats me,hivyo nikiona kufanya chochote kumsaidia kutaleta mtafaruku nitavunja urafiki,niishi kwa amani.fikiria wewe mkeo awe analiwa halafu rafiki yako anajua mkeo analiwa,halafu ujue alikuwa anajua mkeo analiwa kwa miaka 5,utamuonaje huyo rafiki yako???
Sikia nyie vichwa maji, neno jeshi lina maana zaidi ya jkt, soma mada yake alivyoelezea uone kama alitaja jkt, ndio maana nilim-quote kwa kumuuliza mswali kwamba alimaanisha jeshi lipi? au mnataka mjibiwe kirefu ili mjue kuna baba zenu humu?