Nashindwa kuifichua siri hii

Nashindwa kuifichua siri hii

alaaaaa kumbe ya yana ukweli hayo
Ukishaona mtu anakujibu kwa mfumo wa swali...
Zingine hazirudi, inaachia for good. Na akinogewa nawakata vikolojeo vyao tuone nani zaidi. You don't just undress my woman utegemee nitawaacha scot-free.
 
Mmm nawaachia wengine wakujibu kuhusu hili, hii inaonyesha kuwa wewe umetoka familia ambayo haijasoma kabisa, maana hata babu yangu mimi alipitia jkt kwa mujibu wa sheria tangu enzi ya Nyerere, hata Mzee Kawawa rip pia alipitia jkt sembuse mimi?

Mwaka gani ulikuwa jeshini?ili tujue hadith yako ina mashiko au laa ...
 
Mlivyokua mnashare everythng ujanani hukujua kuna share za ukubwani? we ndo umechelewa, kula na wewe wenzio wanaelewa.
 
mliishi pamoja, hata kufa mtafuatana tu, ndo urafiki wa kweli (bond)
we anza na wa yule mlaji mkuu!
 
kavulata

Mwambie rafiki yako aachane na mke wa rafiki yako..
 
Last edited by a moderator:
Tuko marafiki watatu wa kiume wa karibu sana tangu shule ya sekondari, Jeshini hadi Chuo Kikuu, tumeoa na tuna watoto, lakini bahati mbaya rafiki yetu mmoja anatembea na mke wa rafiki yetu mmojawapo kwa zaidi ya miaka 5 sasa.

Mimi ninafahamu uovu huo lakini nashindwa kumtonya rafiki yetu mwenye mke kwa kuhofia kitakachotokea. Anayetembea na mke wa mwenzake hajui kama mimi ninajua.

Shemeji anajua kama mimi ninajua kwamba anatembea na rafiki yetu kwa kuniambia yeye mwenyewe, mwenye mke hajui kabisa kama hili linafanyika.
Sijui kama na mke wangu pia kasalimika kwa aina hii.

Nipeni mawazo nifanye nini kwenye hili

Hapo ndiyo kwenye issue yenyewe!
 
mliishi pamoja, hata kufa mtafuatana tu, ndo urafiki wa kweli (bond)
we anza na wa yule mlaji mkuu!
 
Na wewe tembea na mke wa huyo anaeiba mke wa mwenzie... kwasababu yule anaeibiwa anakuibia wewe na rafiki yako anaemuibia mwenzake anajua.
 
Urafiki wa kweli hudumu, ukisema utavunja urafiki bure, we kula wa wenzio ili siku mkilieka mezani msameheane,frndz4eva
 
kavulata

Baada ya kushtukia huo mchezo ulipaswa uwakanye wote kuhusu uovu huo kama ulivyouita, inatilia mashaka kuwa kwa muda wa miaka 5 wa uovu huo umeshindwa kufanya chochote. Au na wewe unakula hapo nini, sasa ukagundua kua mko wawili na wivu umekushika unataka mwenzio aachie ngazi?
 
Last edited by a moderator:
ni na mashaka na ukweli wa huu uzi, sekondari kisha jeshini,chuo kikuu kisha tumeona afu watoto duh,jkt ya juzi tu haya yote mmeyatimiza vp?
kulikua na jkt mpaka mwaka 1993, ilizimwa mpka ilivyoamshwa miaka hii miwili iliyopita...jifahamisheni vizuri kabla ya kukimbilia kuhoji na kutoa hukumu!!!!!
 
Ukishaona mtu anakujibu kwa mfumo wa swali...
Zingine hazirudi, inaachia for good. Na akinogewa nawakata vikolojeo vyao tuone nani zaidi. You don't just undress my woman utegemee nitawaacha scot-free.

Hahahaaaa!! Khaaa sio vizuri kukata vikojoleo vya wenzio bwana.
 
Umejua ukweli miaka yote hyo leo ndio unataka kusema ukweli?? we ongea na huyo anaekula mke wa mwenzenu ajue unajua na anachofanya sio vzri
 
Punguza urafiki nao , endelea na maisha yako kivyako.
Hapo naona roho ya umauti inawanyelea.
Halafu hapo naona hata wewe umekula shemeji yako , iweje akuambie hiyo siri nzito namna hiyo.

Nilimwona akitoka guest bila ya kumuona aliyekuwa naye nikashangaa na kumtishia kwenda kumtonya jamaa akanisihi nisijaribu maana balaa kwa rafiki zangu lingekuwa kubwa kupindukia, ndo akanipa mzigo mzima hadi kwenye maandisha, nikashika mdomo
 
Umejua ukweli miaka yote hyo leo ndio unataka kusema ukweli?? we ongea na huyo anaekula mke wa mwenzenu ajue unajua na anachofanya sio vzri

Naogopa mwenye mke akitonywa na mtu mwingine hafu jamaa atadhani kuwa ni mimi atanifanyia kitu mbaya
 
Naogopa mwenye mke akitonywa na mtu mwingine hafu jamaa atadhani kuwa ni mimi atanifanyia kitu mbaya
na huyo anaeliwa mke wake akijua ulikuwa unajua hatakufanya kitu kibaya? anyway km umeweza kuvumilia na hyo siri mda wote huo basi endelea au nn kimebadilika?
 
Back
Top Bottom