Da! Ni bora ukae kimya tu sasa maana unajichanganya bila mantiki yoyote. Ni kweli alitaja "jeshi". Wewe mwenyewe ndiye uliyehoji kwa kudai jkt ilianza juzi juzi tu. Hilo ndilo walilokusahihisha watu. Majeshi yote tu yamekuwa hapa toka miaka ya 60. Hata jkt ilikuwako hadi 1993. Si juzi juzi. Kama hukujua, ni busara zaidi kukiri tu badala ya kuanza kuporomosha matusi na kuita watu vichwa maji.
Jeshini wapi, jkt iliyoanza juzi tu halafu chuo kikuu na sasa mmeoa na huku jamaa akiwa anachepuka na mke wa mwenzake kwa miaka mitano sasa! ina maana mlioa kabla hamjafika o level? au uliposema jeshini ulimaanisha nini?
Tuko marafiki watatu wa kiume wa karibu sana tangu shule ya sekondari, Jeshini hadi Chuo Kikuu, tumeoa na tuna watoto, lakini bahati mbaya rafiki yetu mmoja anatembea na mke wa rafiki yetu mmojawapo kwa zaidi ya miaka 5 sasa.
Mimi ninafahamu uovu huo lakini nashindwa kumtonya rafiki yetu mwenye mke kwa kuhofia kitakachotokea. Anayetembea na mke wa mwenzake hajui kama mimi ninajua.
Shemeji anajua kama mimi ninajua kwamba anatembea na rafiki yetu kwa kuniambia yeye mwenyewe, mwenye mke hajui kabisa kama hili linafanyika. Sijui kama na mke wangu pia kasalimika kwa aina hii.
Nipeni mawazo nifanye nini kwenye hili
acha kumeza... nani kakwambia jkt imeanza juzi????
acha kumeza... nani kakwambia jkt imeanza juzi????
Hawa watoto wa enz za kikwete hata ukiwaambia surual za modo zilikuwepo kabla na watu walivaa sana watakubishia, sasa wakisikia JKK/JESHI wanajua imeanza 2013 tu.
[/QUOTE]Konda wa bodaboda,
let me try one more time to see if you can see some sense before I fall back on the aphorism that goes like: don't argue with a fool, people might not notice the difference. Pengine umesahau ulichoandika. Let me remind you.
Hiki ndicho alichosema Kavulata: "tangu shule ya sekondari, Jeshini hadi Chuo Kikuu, tumeoa na tuna watoto"
Wewe Konda wa Bodaboda ukatilia shaka maelezo hayo kwa kusema, nanukuu: "Jeshini wapi, jkt iliyoanza juzi tu halafu chuo kikuu na sasa mmeoa" Haya ni maneno yako wewe, si ya Kavulata.
Watu wakasema, si sahihi kusema JKT ilianza juzijuzi kama ulivyodai. Nami nikaunga mkono, jkt haikuanza juzijuzi. Nikakuasa tu si vizuri kumwaga matusi yasiyo na sababu yoyote. Lakini naona unaanza kumwaga matusi na kuwaita wengine vilaza ilhali unachoking'ang'ania hakina mantinki. unaniuliza "wapi amesema jkt hapo?" Kwa hakika swali hilo ningekuuliza wewe maana wewe ndiye uliyeleta hilo.
Let me get this one more time in summary. Kavulata alisema jeshini mpaka chuoni mpaka kupata watoto. Wewe ukasema jkt iliyoanza juzijuzi tu? Watu wakasema si kweli kwamba jkt ilianza juzijuzi. Kumbuka ni wewe uliyeleta kwanza habari ya jkt. Halafu unaniuliza mimi tena kitu ulichokitaja wewe mwenyewe!!! Walichotaka kukuonesha watu ni kwamba hiyo timeline haina tatizo katika masimulizi hayo. Nina shaka hata unaelewa unachoandika au unachokisoma.
Labda nikutahadharishe, kumwaga matusi si ndiyo kutoa point. Ni dalili ambayo si nzuri kwa kweli.
Wewe kilaza wapi amesema jkt hapo? au ndio ninyi mnaokaririshwa kuwa jeshi ndio jkt? hujui kuwa kwenda mgambo nako ni kwenda jeshini? unajua jeshi la mgambo lilianza lini?
Konda wa bodaboda,
let me try one more time to see if you can see some sense before I fall back on the aphorism that goes like: don't argue with a fool, people might not notice the difference. Pengine umesahau ulichoandika. Let me remind you.
Hiki ndicho alichosema Kavulata: "tangu shule ya sekondari, Jeshini hadi Chuo Kikuu, tumeoa na tuna watoto"
Wewe Konda wa Bodaboda ukatilia shaka maelezo hayo kwa kusema, nanukuu: "Jeshini wapi, jkt iliyoanza juzi tu halafu chuo kikuu na sasa mmeoa" Haya ni maneno yako wewe, si ya Kavulata.
Watu wakasema, si sahihi kusema JKT ilianza juzijuzi kama ulivyodai. Nami nikaunga mkono, jkt haikuanza juzijuzi. Nikakuasa tu si vizuri kumwaga matusi yasiyo na sababu yoyote. Lakini naona unaanza kumwaga matusi na kuwaita wengine vilaza ilhali unachoking'ang'ania hakina mantinki. unaniuliza "wapi amesema jkt hapo?" Kwa hakika swali hilo ningekuuliza wewe maana wewe ndiye uliyeleta hilo.
Let me get this one more time in summary. Kavulata alisema jeshini mpaka chuoni mpaka kupata watoto. Wewe ukasema jkt iliyoanza juzijuzi tu? Watu wakasema si kweli kwamba jkt ilianza juzijuzi. Kumbuka ni wewe uliyeleta kwanza habari ya jkt. Halafu unaniuliza mimi tena kitu ulichokitaja wewe mwenyewe!!! Walichotaka kukuonesha watu ni kwamba hiyo timeline haina tatizo katika masimulizi hayo. Nina shaka hata unaelewa unachoandika au unachokisoma.
Labda nikutahadharishe, kumwaga matusi si ndiyo kutoa point. Ni dalili ambayo si nzuri kwa kweli.
Wewe kilaza wapi amesema jkt hapo? au ndio ninyi mnaokaririshwa kuwa jeshi ndio jkt? hujui kuwa kwenda mgambo nako ni kwenda jeshini? unajua jeshi la mgambo lilianza lini?
Soma tena hilo ni swali, jeshini wapi halafu mkato.......... Swali hilo lina maana nilitaka aseme jeshini wapi? magereza, mgambo,polisi, zimamoto au ni jkt ambayo nikatolea kama mfano tu kwa vijana wanaoenda sasa baada ya kumaliza kidato cha sita, sasa hapo hujaelewa ninj?
Tuko marafiki watatu wa kiume wa karibu sana tangu shule ya sekondari, Jeshini hadi Chuo Kikuu, tumeoa na tuna watoto, lakini bahati mbaya rafiki yetu mmoja anatembea na mke wa rafiki yetu mmojawapo kwa zaidi ya miaka 5 sasa.
Mimi ninafahamu uovu huo lakini nashindwa kumtonya rafiki yetu mwenye mke kwa kuhofia kitakachotokea. Anayetembea na mke wa mwenzake hajui kama mimi ninajua.
Shemeji anajua kama mimi ninajua kwamba anatembea na rafiki yetu kwa kuniambia yeye mwenyewe, mwenye mke hajui kabisa kama hili linafanyika. Sijui kama na mke wangu pia kasalimika kwa aina hii.
Nipeni mawazo nifanye nini kwenye hili
[/QUOTE
Niliwahi kukutana na hali hii.
Ushauri ni kwamba,waambie wahusika yaani hao wanaochepuka kwakuwa nae ni rafiki yako.
Mwambie jamaa umejua tabia yake na umpige biti aache mara moja,ikiwezekana kwakuwa huyo mke wa rafiki kakueleza mwenyewe uwaite wote wachepukaji uwaonye kwa hekima waache mara moja kabla hujamweleza mume.
Lakini usithubutu kumwambia mume kabla hujawaonya.
wenzio nimekimbia mbiombio nifungue nione kuna nn hapa kumbe ni utoto wa shule bado huko
hivi best hawa watafungua lini shule maana stori hizi zimejanzana hapa
hawa bado tunao mitaani si umesikia matokeo ya kidato cha sita yametoka jana
Kama mlengwa ndio aliekwambia kuna % nyingi mkeo anagongwa na mme wa mlengwa,Chunguza kaka utabaini mlengwa alicholeta kwako,kwa jicho la tatu naona "siri sirini"