Nashindwa kuifichua siri hii

Nashindwa kuifichua siri hii

kavulata

Mtonye jamaa kuwa aache kutembea na mke wa rafiki yenu otherwise utamchomekea
 
Last edited by a moderator:
ni na mashaka na ukweli wa huu uzi, sekondari kisha jeshini,chuo kikuu kisha tumeona afu watoto duh,jkt ya juzi tu haya yote mmeyatimiza vp?

nimeamini humu kuna watoto wa shule ya msingi. jkt ilikuwepo toka baada ya uhuru ikasitishwa mwishoni mwa miaka ya 90.
 
Usiogope kuwa jasiri kama rafiki yenu we chapa tu hivyo hivyo na homa zake cha muhimu uwe tu na panadol karibu akichemka unampa panadol homa inapoa unakula kitu
 
ni na mashaka na ukweli wa huu uzi, sekondari kisha jeshini,chuo kikuu kisha tumeona afu watoto duh,jkt ya juzi tu haya yote mmeyatimiza vp?


Mkuu, kwani wewe unaijua JKT ipi na ipi? Unafahamu kuwa kuna JKT ilikuwepo miaka ya 90?
Anyways, kama ulisoma sekondari kipindi cha Kikwete sikulaumu.
 
Mmm nawaachia wengine wakujibu kuhusu hili, hii inaonyesha kuwa wewe umetoka familia ambayo haijasoma kabisa, maana hata babu yangu mimi alipitia jkt kwa mujibu wa sheria tangu enzi ya Nyerere, hata Mzee Kawawa rip pia alipitia jkt sembuse mimi?

Mkuu humu ndani (JF) kila mtu anaona kama analingana na mwenzake, sasa utakuta mtu mwenye miaka 24 au 25 anaona kama member wote wana huo umri!

Anasahau kujua kwamba hata wa umri wa baba zake wamo humu.
 
Ndio maana sipendi urafiki mbele ya mke wangu. Urafiki wetu ni huko, mambo ya kumzoea mke ni kumkaribisha shetain tu.
Kaa kimya, huyo kwenye mke atajua tu, unless awe zoba. Japo naona mwisho m'baya wa urafiki wenu.

Acha uchoyo.
 
huyo shemeji yako alianzaje kukwambia kuwa anagongwa na rafiki yenu??..Na alipokwambia ulimwambiaje??..siku zote umeficha huu uovu kwa rafiki yako kinachokufanya leo utake kusema ni nn?

Kinachoniuma ni shemeji kuzidisha dharau kwa mume wake na majibu yasio na heshima kwake. Mke anaaga kuwa anaenda kulala kwenye msiba wa mtu wa kabila lao ambaye kafa kweli lakini ikifika saa 8 usiku anakwenda kufanya uzinzi ya yule rafiki yetu huku mumewe akiamini kuwa amelala msibani.
 
Ndio maana sipendi urafiki mbele ya mke wangu. Urafiki wetu ni huko, mambo ya kumzoea mke ni kumkaribisha shetain tu.
Kaa kimya, huyo kwenye mke atajua tu, unless awe zoba. Japo naona mwisho m'baya wa urafiki wenu.

bonge la pointi mkuu Eli79
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, kwani wewe unaijua JKT ipi na ipi? Unafahamu kuwa kuna JKT ilikuwepo miaka ya 90?
Anyways, kama ulisoma sekondari kipindi cha Kikwete sikulaumu.

Kasoma shule za kata za Lowassa
 
kavulata

ebu chuna bhana, mbona mwenzio huyo hajakwambia kuwa huyo rafikio naye anachapa wako???
Hapo mko kwenye duara, anayechapiwa naye anachapa wako na unayesema hajui kuwa wewe unajua kuwa anachapa demu wa rafiki yenu anajua kuwa huyo ambaye unadai hajui demu wake anachapwa anachapa demu wako ila kauchuna!! Endelea kutunza siri!!
 
Last edited by a moderator:
kavulata

Waite hao wachafu wawili waambia unajuwa wanachokifanya na waambie wakiendelea utawatonya wenza wao ila kama huezi waambia kaa kimya milele
 
Last edited by a moderator:
Acha uchoyo.

atoto, kuna wanaume ni opportunists. Wakiona fursa tu wanamtongoza mke. Ikiwa ni mtu wa mbali ni sawa coz mke atatengeneza mazingira ya kutawanywa, lakini siwezi kumtengenezea rafiki yangu mazingira ya kumtawanya lovito wangu.
Hivi na wewe hujui kuwa JKT ilikuwepo hadi late 90s eeh.. Teh, utakuwa umesoma sekondari era ya Kikwete wewe..
 
Last edited by a moderator:
Jeshini wapi, jkt iliyoanza juzi tu halafu chuo kikuu na sasa mmeoa na huku jamaa akiwa anachepuka na mke wa mwenzake kwa miaka mitano sasa! ina maana mlioa kabla hamjafika o level? au uliposema jeshini ulimaanisha nini?

we poyoyo jkt ilikuwepo tokea zamani ikasitishwa miaka ya tisini....
 
Back
Top Bottom