atoto, kuna wanaume ni opportunists. Wakiona fursa tu wanamtongoza mke. Ikiwa ni mtu wa mbali ni sawa coz mke atatengeneza mazingira ya kutawanywa, lakini siwezi kumtengenezea rafiki yangu mazingira ya kumtawanya lovito wangu.
Hivi na wewe hujui kuwa JKT ilikuwepo hadi late 90s eeh.. Teh, utakuwa umesoma sekondari era ya Kikwete wewe..
ni na mashaka na ukweli wa huu uzi, sekondari kisha jeshini,chuo kikuu kisha tumeona afu watoto duh,jkt ya juzi tu haya yote mmeyatimiza vp?
nimeamini humu kuna watoto wa shule ya msingi. jkt ilikuwepo toka baada ya uhuru ikasitishwa mwishoni mwa miaka ya 90.
Waache wale raha alaaaaa, acha umbea
Wapi nimesema sijui jamani!! Kwani akimtawanya anaondoka nayo? Si anakuachia.
Sikia nyie vichwa maji, neno jeshi lina maana zaidi ya jkt, soma mada yake alivyoelezea uone kama alitaja jkt, ndio maana nilim-quote kwa kumuuliza mswali kwamba alimaanisha jeshi lipi? au mnataka mjibiwe kirefu ili mjue kuna baba zenu humu?
Jeshi hili la juzi mtu kashazaa mtoto wa miaka mi5???
Akimtawanya aweza acha vitu vingi, ngoma, kuharibu elasticity ya naniliu endapo maulana kamjalia kirungu, kisaikolijia pia..sex is more than kusuguliwa wangu!
Swali la jkt umeliruka bestie.
ni shida. unafahamu kitu kinaitwa context? au muktadha? unafahamu kitu kinachoitwa maana ambayo haijatajwa? usiwe mwepesi tu kuropoka sijui vichwa maji sijui nini
Vipi unataka unipeleke jkt? Usijali itajirudi tu, na akinogewa ndio basi tena uandike maumivu.
Kuchapiwa kunauma sana