Jenchede
JF-Expert Member
- Jul 22, 2014
- 238
- 495
Kama kweli umeamua kumwacha ili uweze kumsahau ni kukumbuka mabaya yake. Ukikumbuka mazuri yake utajivika upofu utakuwa unasema bahati mbaya,,shetani alimpitia ngoja nimsamehe.Mm nimeshaamua kuachana, chakufanya nipe tu mbinu ya kumsahau, kutofuta namba Ni kigezo Cha kupendana?