Nashindwa kufuta namba yake japo tumeachana

Mm nimeshaamua kuachana, chakufanya nipe tu mbinu ya kumsahau, kutofuta namba Ni kigezo Cha kupendana?
Kama kweli umeamua kumwacha ili uweze kumsahau ni kukumbuka mabaya yake. Ukikumbuka mazuri yake utajivika upofu utakuwa unasema bahati mbaya,,shetani alimpitia ngoja nimsamehe.
 
Pole kwa kujaribu bahati nasibu yako, thread yangu niliileta hapa last year mwanzon, jaribu Tena bahati yako
 
Mkuu it's a long story, nilishawah iweka hapa kwa id tofauti na hi, na watu wote walinishauri nimuache ndiyo maana nimeona nikija kwa I'd ileile nitakula vichambo Hadi basi
Humu sio sehemu ya kufanya uteseke hivyo kisa miandiko ya watu, usijinyime nafsi yako eti kisa humu, changanua maushauri ila kamwe usiruhusu yakandamize amani na furaha yako,, jipende

Cha kufanya unatakiwa ukiri ulivyompenda huyo ex mbele yake Yani namaanisha kwa njia ya simu au sms sio ana kwa ana tafadhali, ila tu hakikisha usirudiane nae hiyo itakusaidia kupunguza mtukutiko wa nafsi,,, hii mbinu ilinisaidia Sana kwa wanaume (2) niliowahi kuwapenda kwa moyo, akili na hisia zote kuwasahau kwa haraka sana

Kingine jiapie iwe Ni Kama mwiko wako kurudiana na ex, katika vitu kwangu nimeviheshimu Ni huo mwiko, sirudii matapishi na mpaka sasa nimefanikiwa
 
Humu sio sehemu ya kufanya uteseke hivyo kisa miandiko ya watu, usijinyime nafsi yako eti kisa humu, changanua maushauri ila kamwe usiruhusu yakandamize amani na furaha yako,, jipende

Cha kufanya unatakiwa ukiri ulivyompenda huyo ex mbele yake Yani namaanisha kwa njia ya simu au sms sio ana kwa ana tafadhali, ila tu hakikisha usirudiane nae hiyo itakusaidia kupunguza mtukutiko wa nafsi,,, hii mbinu ilinisaidia Sana kwa wanaume (2) niliowahi kuwapenda kwa moyo, akili na hisia zote kuwasahau kwa haraka sana

Kingine jiapie iwe Ni Kama mwiko wako kurudiana na ex, katika vitu kwangu nimeviheshimu Ni huo mwiko, sirudii matapishi na mpaka sasa nimefanikiwa


...sahihi kabisa. Sio dhambi kabisa kukiri kuwa alimpenda, na kujihakikishia harudiani na ex- ni mojawapo ya kipimo muhimu sana unachoweza jiwekea maishani.

Ni maamuzi tu ya maisha,
Kwa amani ya roho na afya ya akili.
 
Humu sio sehemu ya kufanya uteseke hivyo kisa miandiko ya watu, usijinyime nafsi yako eti kisa humu, changanua maushauri ila kamwe usiruhusu yakandamize amani na furaha yako,, jipende

Cha kufanya unatakiwa ukiri ulivyompenda huyo ex mbele yake Yani namaanisha kwa njia ya simu au sms sio ana kwa ana tafadhali, ila tu hakikisha usirudiane nae hiyo itakusaidia kupunguza mtukutiko wa nafsi,,, hii mbinu ilinisaidia Sana kwa wanaume (2) niliowahi kuwapenda kwa moyo, akili na hisia zote kuwasahau kwa haraka sana

Kingine jiapie iwe Ni Kama mwiko wako kurudiana na ex, katika vitu kwangu nimeviheshimu Ni huo mwiko, sirudii matapishi na mpaka sasa nimefanikiwa
Shukrani , lakini from no where namtumia mtu text ambae siongei nae kwa miezi mitano kwamba ninampenda, si ataniona chiz, embu nielekeze how?
 
Shukrani , lakini from no where namtumia mtu text ambae siongei nae kwa miezi mitano kwamba ninampenda, si ataniona chiz, embu nielekeze how?
Kupitia status zake, akipost kitu kizuri mpe pongezi pitia hapo kumueleza jinsi ulivyompenda ila yakatokea yaliyotokea, maisha lazima yaendelee nk itakupa nafuu ya sumbuko la moyo wako trust me, ila usirudishe mawasiliano ya karibu endapo atataka ku-take advantage ya kukiri kwako,
 
Back
Top Bottom