Nashindwa kufika mshindo

Kama hauna kisukar jaribu kucheki, jingine jitahidi kula vyakula vyenye afya kula maziwa mtindi, mboga mboga za majani sana sana mchicha na kabegi, spinach usile kwa mwanaume sio nzuri kula Mara kwa Mara, saladi, tende, korosho, samaki na maji kwa wingi epuka ugali, wali, chipsi na masoda soda
 
Badilisha ID yako tukupe muongozo


1715026902402.png
 
At 40+ sex is not a big deal, yaani huo sio umri wa kuiwazia sana ngono. Ndio maana hutakiwi umzidi sana mkeo. Sasa fikiria mkeo yupo 24 na wewe 45, lazima utashindwa kumfikisha coz zinskuja moments tofauti kwako, kuna siku utamla vizuri, kuna siku utashindwa, ukiwa na mwanamke mnaendana ni afadhali kidogo.
Hii imejitosheleza na tuichukue hii itatusaidie tusipojali tamaa tamaa zetu.
 
Hii imejitosheleza na tuichukue hii itatusaidie tusipojali tamaa tamaa zetu.
Hii si sawa ERoni ! Uzoefu unaonesha mwanaume ukiwa na umri mkubwa, ndipo unahitaji binti mdogo ili akupandishe mashetani. Akinamama wakubwa huwa hawataki romance na wanataka wewe ndiye ufanye kazi ya kuwabusti. Imagine mnakutana watu wawili ambao kila mmoja anatakiwa kubustiwa. Pili akinama baada ya menopause huwa wakavu sana. Tofauti ni kuwa Mwanaume mtu mzima ashapitia k nyingi na ana uzoefu, wengi hawawezi kukojoa bila utelezi! Hili ndilo linampata jamaa. Vibinti kuloa dakika sifuri ujue.
 
Mimi nimewahi pata hilo tatizo wakati fulani, yaaani unasugua mbunye mpaka inakuwa ya moto, uteute unaisha, badala ya raha inakuwa karaha, tofauti ni kuwa yangu ilikuwa hailali mapema isipokuwa, zoezi linahairishwa mpaka wakati mwingine...ila baadae niliacha ngono for like 6 months kisha hali ikastabilize nikaanza kumwaga shahawa, tatizo unalolisema wewe ambalo mimi silioni kama tatizo ni kuwa, nikimwaga shahawa uboo unalala kabisa na libido ya kufanya mapenzi inapotea kabisa, mapenzi baadae kiasi kama lisaa ndio mzigo uamke tena na hapa trip ya kufanya mapenzi Huwa ndefu zaidi wakati mwingine unaweza usikojoe kabisa.

Ushauri wangu, zingatia matumizi ya vyakula vyenye protini maake haswa ndio huzalisha manii, fanya mazoezi, punguza misongo, mwandae mwenzio naye akuandae vilevile, kisha usilitazame Hilo kama tatito Bali na usikaze msongo, "NDOA NI KUBWA KULIKO NGONO"
 
At 40+ sex is not a big deal, yaani huo sio umri wa kuiwazia sana ngono. Ndio maana hutakiwi umzidi sana mkeo. Sasa fikiria mkeo yupo 24 na wewe 45, lazima utashindwa kumfikisha coz zinskuja moments tofauti kwako, kuna siku utamla vizuri, kuna siku utashindwa, ukiwa na mwanamke mnaendana ni afadhali kidogo.
Mke wangu nimemzidi miaka 6 tu
 
Hii si sawa ERoni ! Uzoefu unaonesha mwanaume ukiwa na umri mkubwa, ndipo unahitaji binti mdogo ili akupandishe mashetani. Akinamama wakubwa huwa hawataki romance na wanataka wewe ndiye ufanye kazi ya kuwabusti. Imagine mnakutana watu wawili ambao kila mmoja anatakiwa kubustiwa. Pili akinama baada ya menopause huwa wakavu sana. Tofauti ni kuwa Mwanaume mtu mzima ashapitia k nyingi na ana uzoefu, wengi hawawezi kukojoa bila utelezi! Hili ndilo linampata jamaa. Vibinti kuloa dakika sifuri ujue.
Gari bovu lazima livutwe na gari Zima vinginevyo litatumbukizwa kwenye mtaro hahahaa
 
Mimi nimewahi pata hilo tatizo wakati fulani, yaaani unasugua mbunye mpaka inakuwa ya moto, uteute unaisha, badala ya raha inakuwa karaha, tofauti ni kuwa yangu ilikuwa hailali mapema isipokuwa, zoezi linahairishwa mpaka wakati mwingine...ila baadae niliacha ngono for like 6 months kisha hali ikastabilize nikaanza kumwaga shahawa, tatizo unalolisema wewe ambalo mimi silioni kama tatizo ni kuwa, nikimwaga shahawa uboo unalala kabisa na libido ya kufanya mapenzi inapotea kabisa, mapenzi baadae kiasi kama lisaa ndio mzigo uamke tena na hapa trip ya kufanya mapenzi Huwa ndefu zaidi wakati mwingine unaweza usikojoe kabisa.

Ushauri wangu, zingatia matumizi ya vyakula vyenye protini maake haswa ndio huzalisha manii, fanya mazoezi, punguza misongo, mwandae mwenzio naye akuandae vilevile, kisha usilitazame Hilo kama tatito Bali na usikaze msongo, "NDOA NI KUBWA KULIKO NGONO"
Pia asile chakula kingi ataishia kulala maana nguvu nyingi itakuwa inatumika kumenge'nya chakula ale hata maandazi tu yanatosha azingatia ushauri
 
Jaribu kwa mwanamke mwingine halafu rudi hapa chumba cha daktari.

Tatizo mnacheza ligi kuu tu masharti mengi hadi unapoteza ladha.
Uwe unajaribu ligi za mchangani kuna mbwembwe sana kule. Wewe unaandaa faini yako kabisa.
Mara uingilie kwa kuruka ukuta, ukiulizwa unasema nilikuwa sioni main gate.
Mara ucheze kwa kasi ya ajabu, mara utembee juu ya mpira na watu wanashangilia hapo!
 
Back
Top Bottom