kwaiyo nikiwa in love mambo mengine ninayoyapenda nyaache, women take advantage of love to manupulate men coz mkishaingia kwenye mapenzi mwanaume inabid ufanye vi2 anavyovitaka na anavyovipenda mwanamke
Kaka wewe kama mimi,, sina timu maalumu nayoishabikia.. I am inlove with the game..
Na siwezi kuishi bila Dstv hata kama sina hela kabisa lakini access ya kuangalia mpira iwepo,, na siwezi kuangalia mpira bar, mi naangalia geto tu nisikie swaga za wachambuzi..
Sasa wife to be ameanza kelele za matumizi mabaya ya kulipia dstv.. Nikamwambia hapo sasa unapoelekea sipo akachoka
Kweli kabisa jichange, wanawake wasiku hizi wanacheza man2man, hawataki kuibiwa
asante sn mkuu wew umenielewa zaidi coz 2nashare interest, kuacha kuangalia mpira ni sawa na m2 mpenzi wa music alaf anamwambia asisikilize, ngoja ninunue dstv nione itakuwaje
huwezi kutaka vyote lazima uchague kimojanataka vyote mkuu
thanx nimekuelewa ila mbona mwanzo alikubali wakati 2naanza, kwaiyo akitokea m2 yuko available anytime she want ataniacha? Is this fair? Nw i'm scared
Hujaumwa njaa weye,chezeya njaaa eeeeehhhh,haahahahaaaaa jst joking mwaya ila i guess addiction ya kiasi hicho ni harmful remember toooooo muccch is........
Kwa jibu lako hilo i can guesss that ungeumia kupita maelezo so haijalishi either mud wote au sometimes thinks twice your gal needs some time and space with you anza kumpa wakati now mpira is nothing comparing to a special person,a person that you expect to be with in your entire life!!!!!!!!!!!!!!!!!.
ila na nyie mue mnaelewa m2 akisema anapenda ki2 fulani mwache huru sasa mwanamke ukimwambia unapenda ki2 fulan yeye apoapo ndo anakubana hata ukifanyi kwa raha, mfano usk ukimwambia naenda mpirani atapiga simu mara mbilimbili kuakikisha kama kweli upo mpiran, usipokee sasa ndo utaona motoI don't mean uyaache,kuwa balanced do wat you like and at the same time give her the times to be with you whenever she wants you.
Kaka wewe kama mimi,, sina timu maalumu nayoishabikia.. I am inlove with the game..
Na siwezi kuishi bila Dstv hata kama sina hela kabisa lakini access ya kuangalia mpira iwepo,, na siwezi kuangalia mpira bar, mi naangalia geto tu nisikie swaga za wachambuzi..
Sasa wife to be ameanza kelele za matumizi mabaya ya kulipia dstv.. Nikamwambia hapo sasa unapoelekea sipo akachoka
WE VIPI? Huo mpira una miliki hisa kwenye hizo timu? Unashabikia Mizungu na kumsahau mpenzi wako!
Sio kihivyo kwamba nakufa kwa njaa ila ni msisitizo jinsi ninavyopenda soka. Ila kama nina dili la hela shiiiiiiiiiiiiiiit hata matokeo siulizi...chezea nguvu ya pesa.
ila na nyie mue mnaelewa m2 akisema anapenda ki2 fulani mwache huru sasa mwanamke ukimwambia unapenda ki2 fulan yeye apoapo ndo anakubana hata ukifanyi kwa raha, mfano usk ukimwambia naenda mpirani atapiga simu mara mbilimbili kuakikisha kama kweli upo mpiran, usipokee sasa ndo utaona moto
Yeah and am not scaring you but honestly wanawake wanakuwa esily trapped kwa vitu vidogovidogo sana,na hii ni natural as mwanaume aliumbwa kuheshimiwa na mwanamke kupendwa,so mwanamke akipewa maneno mazurimazuri,akasifiwa,akaonyeshwa na partner wake kuwa she is all he needs baaaaaaaaasi hapo unakuwa umemmaliza mwanamke yeyote,kwa hiyo kama we partner wake humfanyii vyote hivyo na jamaa pembeni anammendea and yuko willing kufanya vyote hiyoooo......ooohhhh yes kuna big % of losing your woman esp kama ni tatzo la muda mrefu coz wanawake watulivu ni wavumilivu sana.
Time and space haimaanishi 24/7 (365 days a year) mtu anayekwambia either nichague mimi au hobbie yako ni selfish na mbinafsi.., inabidi mtu mwenyewe ndio aache na sio kulazimishwa.., kama kweli huyu dada ni considerate angejifunza kupenda hobbie za mwenza wake ili wa-spend time together.., (unajua ukipenda mtu ni companionship ndio ina-matter haijalishi mnafanya nini) even watching paint dry can be awesome.
wanawake wa2 ajabu sn kinachonisikitisha mim vi2 anavyovipenda najitaid vinakuwa kama anavyotaka ukitoa ili la mpira, hata wanaume wanaitaji time na space